Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,087
Am I noting some trend here? Wachangiaji wengi wanaounga mkono CCM wote wamejiandikisha hapa kati ya sasa na September 2010, je hawa wametumwa kwa kazi maalum?????? Au ndio wale Majasusi wanaosemwa. CHONDE CHONDE nyie walafi, tuachieni Tanzania yetu, tuacheni mwende zenu na tamaa zenu, enendeni zenu nyie walamba manyeo
Wamekuja kwa kazi maalumu, huoni mishipa inavyowatoka kumtetea boss wao..... kubwa ilikuwa kuchakachua votes za JF and kupandisha chati ya JK.