mujusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 237
- 58
Jamani yule jamaa inasemekana ni Tajiri mkumbwa ambaye chanzo chake kinasemekana ni kuchota mamilioni toka mahali pake pa kazi na ikioneka watu wanastukia baadhi ya Wazee wanaomkingia kifua wanamhamisha kwenda pengine kuendeleza kuchota..Kama uliwahi fika moro ukiona hoteli nyingi zilioanza na GW--- ujue zake.
Inasemekana Dodoma ziko zingine kwa jina lingine.Kiboko zaidi alivyochukua jengo la ghorofa mbili la ofisi ya Chama kikuu na Kubadilisha kuwa Hotel kubwa hapo kati ya Mji wa Moro. Ikisemeekana kwamba ni mchango wake ili aweze kulindwa zaidi .
Je tutafika?
Inasemekana Dodoma ziko zingine kwa jina lingine.Kiboko zaidi alivyochukua jengo la ghorofa mbili la ofisi ya Chama kikuu na Kubadilisha kuwa Hotel kubwa hapo kati ya Mji wa Moro. Ikisemeekana kwamba ni mchango wake ili aweze kulindwa zaidi .
Je tutafika?