Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 5,954
- 11,946
Hebu husianisha kwanzaKama hujui kitu tulia. Ume soma comment za juu? Au una rukia tu
Hasira za nini mkuu?
Hebu husianisha kwanzaKama hujui kitu tulia. Ume soma comment za juu? Au una rukia tu
Toa. Maoni yako kwa mjumbe uendelee na safari zako.Hebu husianisha kwanza
Hasira za nini mkuu?
Tusirelate hapo alete simu ya samsung kwa price alizotaja hapa hapo atuambie ni toleo lipi na la mwaka gani . TUYAACHE MAHABA VITU VYA TECH HUENDA BY SPEC .kwa sasa note 9 atapata refurb simu imsumbue tu aje kuanza lia lia asije na series zake za a hapo manake ni almost 54 .54s ndio zina compete na hio redmi na zote ziko abave jiwe saba .Mhusika tunakungojaMifano yako haiendani mkuu
Hebu relate na Samsung Galaxy Note 9 vs Redmi Note 12 tuone point yako
Mbona una mambo ya kitoto hiviToa. Maoni yako kwa mjumbe uendelee na safari zako.

Samsung wana simu za model za As za 450k. Toleo 2022, 2023. Gb 128 kali. Samsung ulinganishe na Remdi? Redmi hata spare (vioo) tu issue. Naongea coz nime zitumia Redmi. Na samsung.Tusirelate hapo alete simu ya samsung kwa price alizotaja hapa hapo atuambie ni toleo lipi na la mwaka gani . TUYAACHE MAHABA VITU VYA TECH HUENDA BY SPEC .kwa sasa note 9 atapata refurb simu imsumbue tu aje kuanza lia lia asije na series zake za a hapo manake ni almost 54 .54s ndio zina compete na hio redmi na zote ziko abave jiwe saba .Mhusika tunakungoja
Anaandika pumba halafu ukimhoji anakasirika na kukimbiaTusirelate hapo alete simu ya samsung kwa price alizotaja hapa hapo atuambie ni toleo lipi na la mwaka gani . TUYAACHE MAHABA VITU VYA TECH HUENDA BY SPEC .kwa sasa note 9 atapata refurb simu imsumbue tu aje kuanza lia lia asije na series zake za a hapo manake ni almost 54 .54s ndio zina compete na hio redmi na zote ziko abave jiwe saba .Mhusika tunakungoja
Kazi yako ni quote wengine huna mchango wowote. Japo una jidai mjuaji. Haya lete maoni yakoMbona una mambo ya kitoto hivi
Sasa ulitegemea uje kucomment kwenye nyuzi za tech halafu watu wasikuhoji. Wewe ni nani mpaka maoni yako yasihojiwe?
Relate hiyo mifano yako, hatuko hapa kupotoshana
So unasema hiyo Samsung ya 450K ni kali kwa sababu ina 128GB storage?Samsung wana simu za model za As za 450k. Toleo 2022, 2023. Gb 128 kali. Samsung ulinganishe na Remdi? Redmi hata spare (vioo) tu issue. Naongea coz nime zitumia Redmi. Na samsung.
Una zijua? Unajua specifications zake zote? Maoni huna. Kazi kurukia hoja bila suggestion. Hujui simu halafu unabisha...eti itaje. Kazunguke uibiwe huko.So unasema hiyo Samsung ya 450K ni kali kwa sababu ina 128GB storage?
Kwanza ni Samsung gani hiyo, utaje kwanza
Umeshindwa kutaja kuwa anaweza kupata Samsung Galaxy A14 5G kwa laki nne na nusu, matokeo yake umetaja ukubwa wa storage tuKazi yako ni quote wengine huna mchango wowote. Japo una jidai mjuaji. Haya lete maoni yako
Ningegundua hujui simu na una tafta simu. Mtoa mada kataja zake. Na ww taja zako. Au nenda kariakoo uibiwe kwanzaUmeshindwa kutaja kuwa anaweza kupata Samsung Galaxy A14 5G kwa laki nne na nusu, matokeo yake umetaja ukubwa wa storage tu
Then mtu akihoji maoni yako unamletea majibu ya kejeli
Sasa unataka conversation iendelee vipi ikiwa we mwenyewe umekataa kufafanua huo ushuzi ulioandika hapo juuUna zijua? Unajua specifications zake zote? Maoni huna. Kazi kurukia hoja bila suggestion. Hujui simu halafu unabisha...eti itaje. Kazunguke uibiwe huko.
Mm nakutunza na wazazi wako. Huoni ni samsung natumia au?Anaandika pumba halafu ukimhoji anakasirika na kukimbia
Watu wengine wana stress za maisha wanakuja kuzileta huku Jamii Forums
Funga mjadala hajui hata pa kupata spare ya simu sembuse simu husika? Ananunua kariakoo za kulenga wakimwambia mpya anaamini . MWAMBIE ASOGEE HATA MJINI PINDOU HAPO AU TAOBAO AONE JINSI WACHINA WANAVYOUSEMA UKWELI KWA SIMU REFURB ILHALI KARIAKOO KAAMBIWA MPYAUmeshindwa kutaja kuwa anaweza kupata Samsung Galaxy A14 5G kwa laki nne na nusu, matokeo yake umetaja ukubwa wa storage tu
Then mtu akihoji maoni yako unamletea majibu ya kejeli
Leta hoja, sio majigamboMm nakutunza na wazazi wako. Huoni ni samsung natumia au?
Msaidie mwenye mada. Siyo kujidai mjuaji kwenye comment za wengineSasa unataka conversation iendelee vipi ikiwa we mwenyewe umekataa kufafanua huo ushuzi ulioandika hapo juu
Nilitaka ufafanue then mambo mwingine yanafuatia, badala ya kufafanua naona unaanza kunishambulia as if unajuana na kila mtu hapa JF
"Sasa umeandika nn mjuaji? Na umemsaidiaje mjumbe ndg mjuaji? Hivi ww ukanunue gari ya Masoud kipanya na mwenzio Toyota. Mlingane? Utakuwa chizi."Msaidie mwenye mada. Siyo kujidai mjuaji kwenye comment za wengine
Halafu ukimwambia ukweli anakuita mjuajiFunga mjadala hajui hata pa kupata spare ya simu sembuse simu husika? Ananunua kariakoo za kulenga wakimwambia mpya anaamini . MWAMBIE ASOGEE HATA MJINI PINDOU HAPO AU TAOBAO AONE JINSI WACHINA WANAVYOUSEMA UKWELI KWA SIMU REFURB ILHALI KARIAKOO KAAMBIWA MPYA