X wangu amemuita mwanae jina langu

X wangu amemuita mwanae jina langu

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,082
Reaction score
2,354
Habari wakuu,

Kuna kitu kimenishangaza, kuna jitu tuliachana nalo, nimesikia limepata mtoto na limemwita jina sawa na la kwangu.

Hivi ni halali kweli hata kama sina hati miliki ya hilo jina?
 
d8786c5d1ed41ffcc0651aa4e964a319.jpg
Mtu mmeshaachana ya nini kumfatilia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom