Tutopona jamani na hiyo hepatitis. Tunajitahidi kuepuka ukimwi Ila hepatitis na homa ya ini ni balaa jingineNenda na UPT na Bioline HIV test,ikiwezekana mpime na aina zote za hepatitis
Fanya vipimo kabla ya chochote
Sisi maex wa kike tunakuwaga na kinyongo cha maisha