X-Girl friend kaniomba nimsindikize

X-Girl friend kaniomba nimsindikize

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
759
Hi, guys nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa janeth,kwa mda mrefu 2likuwa wapenzi kwani 2lianza toka 2009 hadi 2012 tulipotengana,kikubwa kwa mpenzi wangu huyo wa zamani kwanza yeye ndo alinitongoza nikamkubalia alinipenda sana ,alinipa fedha sana,nilianza kumpenda pia,Lakini 2liachana with no reason nilimuomba turudiane alikataa,cha kushangaza baada ya mda mrefu kutokuwasiliana jana kanipigia simu anataka nimsindikize sehemu....JE NIFANYEJE??je,nikamweleze hisia zangu kwake na kuwa ninataka iwe kama zamani??ushauri please.
 
Nyie vijana wakileo kweli akili zenu legelege sana, hivi hilo lakualika watu wakupe ushauri hapa?

Ndiomaana alikubwaga kwakuwa huna akili hata yakujitawala tu zaidi ya kuweza kutenganisha mboga na ugali na kuweza kuvukia barabara tu.

morata'vere!
 
wewe Food engineer ni kijana muongo sana! kumbuka JF sio sehemu ya kuleta habari za uongo uongo!!!!

majuzi hapa umeleta habari za wanafunzi kufumaniwa na lecturer, nimefanya research mpaka SUA nimegundua ni uongo!!!

kijana kabla hatujafika mbali, tafadhali futa kwanza ile kauli, ama, toa maelezo yenye uhakika!!!

habari kama ile ni nyeti, sina imani na wewe Food engineer...
 
Last edited by a moderator:
wewe Food engineer ni kijana muongo sana! kumbuka JF sio sehemu ya kuleta habari za uongo uongo!!!!

majuzi hapa umeleta habari za wanafunzi kufumaniwa na lecturer, nimefanya research mpaka SUA nimegundua ni uongo!!!

kijana kabla hatujafika mbali, tafadhali futa kwanza ile kauli, ama, toa maelezo yenye uhakika!!!

habari kama ile ni nyeti, sina imani na wewe Food engineer...

labda tu nataka nikueleze bwana excel kuwa habari ile ni sahihi,ya kweli na ilitokea,na hadi mda huu wale mabinti wamepewa barua za maelezo na chuo kikuu cha sokoine under Prof.Gilla waeleze kwanini wafanye ufuska huo,cha kuongezea nipe ur email niku2mie picha zote za tukio kwani kati ya walioshuhudia mimi food engineer nilikuwepo na nilipata taarifa mapema nikahudhuria kwa sababu mambo hayo yalifanyika karibu na departiment yetu ya food...
 
Last edited by a moderator:
labda tu nataka nikueleze bwana excel kuwa habari ile ni sahihi,ya kweli na ilitokea,na hadi mda huu wale mabinti wamepewa barua za maelezo na chuo kikuu cha sokoine under Prof.Gilla waeleze kwanini wafanye ufuska huo,cha kuongezea nipe ur email niku2mie picha zote za tukio kwani kati ya walioshuhudia mimi food engineer nilikuwepo na nilipata taarifa mapema nikahudhuria kwa sababu mambo hayo yalifanyika karibu na departiment yetu ya food...

Kwa hiyo umehifadhi hizo picha kwa faida gani? SUA ni chuo kikuu, hao waliofanya ufuska wamemkosea nani mpaka wewe uhifadhi picha zao? Au huyo Lecturer kachukua binti aliyekukataa? Hiyo Engenering ya Chakula utaimaliza kweli, maana umekomaa sana na ngono, wanawake, Janet, wahadhiri na mambo yao badala ya Masomo. Utaondoka SUA na first class ya Gossip Engenering. Waombe wazazi wako wakuombee uondokane na Pepo la Umbea.
 
labda tu nataka nikueleze bwana excel kuwa habari ile ni sahihi,ya kweli na ilitokea,na hadi mda huu wale mabinti wamepewa barua za maelezo na chuo kikuu cha sokoine under Prof.Gilla waeleze kwanini wafanye ufuska huo,cha kuongezea nipe ur email niku2mie picha zote za tukio kwani kati ya walioshuhudia mimi food engineer nilikuwepo na nilipata taarifa mapema nikahudhuria kwa sababu mambo hayo yalifanyika karibu na departiment yetu ya food...

kijana zitume.... excelsuperb@gmail.com
 
Unahongwa..unamwagwa, unaalikwa unabebwa..yaani wewe! ! HEMBU SUBIRIA MAJANGA TU AT THAT PACES
 
Nyie vijana wakileo kweli akili zenu legelege sana, hivi hilo lakualika watu wakupe ushauri hapa? Ndiomaana alikubwaga kwakuwa huna akili hata yakujitawala tu zaidi ya kuweza kutenganisha mboga na ugali na kuweza kuvukia barabara tu.
naona jukwaa la siasa limekua chungu baada ya kugaragazwa kalenga,,,
embu kamalizia live update yako ya uchaguz kule maana iko pending,,
tuache vijana na mapenz yetu we mtu mzima ujana wako ulikua miaka ya uhuru uko,,tehe
 
Hi, guys nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa janeth,kwa mda mrefu 2likuwa wapenzi kwani 2lianza toka 2009 hadi 2012 tulipotengana,kikubwa kwa mpenzi wangu huyo wa zamani kwanza yeye ndo alinitongoza nikamkubalia alinipenda sana ,alinipa fedha sana,nilianza kumpenda pia,Lakini 2liachana with no reason nilimuomba turudiane alikataa,cha kushangaza baada ya mda mrefu kutokuwasiliana jana kanipigia simu anataka nimsindikize sehemu....JE NIFANYEJE??je,nikamweleze hisia zangu kwake na kuwa ninataka iwe kama zamani??ushauri please.

hivi mitihani yako huwa unajibu vipi?? maana inaoneka processor ya ubongo wako iko slow sana, bado kidogo tu uwe zezeta...
swali la kizush - hiyo kozi yako inafundisha kupika vitumbua au kutengeneza sukari?
 
Duh??,msamehemi ,ujue wengine wanatafta attention kwa gharama yeyote ile.
 
naona jukwaa la siasa limekua chungu baada ya kugaragazwa kalenga,,,
embu kamalizia live update yako ya uchaguz kule maana iko pending,,
tuache vijana na mapenz yetu we mtu mzima ujana wako ulikua miaka ya uhuru uko,,tehe

Duuu mie mzee? Acha kuninyima raha ndugu, mie kijana mwenzio kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom