X-Girl friend kaniomba nimsindikize

X-Girl friend kaniomba nimsindikize

Duh....
Kumbe nilisoma vibaya??? :shocked::shocked:
Nilivyoona kuhonga tu sikumalizia kusoma...

hahaha. kwanza tukubaliane hapa kwenye mahusiano yao, boiflendi ni yupi? mdada mhongaji ama mkaka mhongwaji aliechinjiwa baharini bila maelezo?
 
staki gift yako! kwanza huko kwenu ukimuambia mke unampenda ni kwa kipigo. mie sijawahi kupigwa wala kugombezwa na babangu Mtambuzi, ukinipiga ntakufa bure. staki bwana, usini-quote tenaaa!:tape::tape::tape:

Jesus Christ!

sorry if i went wrong somewhere...

I will respect your word..

I will miss you King'asti....

it will need an extreme love to take this hellow to good-bye

 
Last edited by a moderator:
Hi, guys nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa janeth,kwa mda mrefu 2likuwa wapenzi kwani 2lianza toka 2009 hadi 2012 tulipotengana,kikubwa kwa mpenzi wangu huyo wa zamani kwanza yeye ndo alinitongoza nikamkubalia alinipenda sana ,alinipa fedha sana,nilianza kumpenda pia,Lakini 2liachana with no reason nilimuomba turudiane alikataa,cha kushangaza baada ya mda mrefu kutokuwasiliana jana kanipigia simu anataka nimsindikize sehemu....JE NIFANYEJE??je,nikamweleze hisia zangu kwake na kuwa ninataka iwe kama zamani??ushauri please.
Mlianza kupendana with no reason ndio maana mkaachana with no reason.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom