X-Girl friend kaniomba nimsindikize

X-Girl friend kaniomba nimsindikize

Hi, guys nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa janeth,kwa mda mrefu 2likuwa wapenzi kwani 2lianza toka 2009 hadi 2012 tulipotengana,kikubwa kwa mpenzi wangu huyo wa zamani kwanza yeye ndo alinitongoza nikamkubalia alinipenda sana ,alinipa fedha sana,nilianza kumpenda pia,Lakini 2liachana with no reason nilimuomba turudiane alikataa,cha kushangaza baada ya mda mrefu kutokuwasiliana jana kanipigia simu anataka nimsindikize sehemu....JE NIFANYEJE??je,nikamweleze hisia zangu kwake na kuwa ninataka iwe kama zamani??ushauri please.

Sa hapo unaumiza watu vichwa kwalipi? Bora shule zianze mwende shule mnatuletea nzi tu humu.
 
Pole sana kijana wa kiume;
subiri tu mpaka atakapoamua yeye, wewe huwezi kumshawishi na ndo maana umeomba watu wakusaidie jinsi ya kumshawishi!
 
Chuo chetu SUA siku hizi mnakidhalilisha kwa kweli vijana! Sielewi elewi kwa sababu topic zako ni za ajabu ajabu tu. Wadau tunakuwa na wasi wasi na uwezo wako wa kufikiri kutokana na hizi mada zako:-
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/623096-sua-kama-suarez.html ,
https://www.jamiiforums.com/habari-...sua-na-lecturer-wafumwa-wakifanya-ufuska.html ,
Wewe kweli mhandisi chakula!!??

Hi, guys nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa janeth,kwa mda mrefu 2likuwa wapenzi kwani 2lianza toka 2009 hadi 2012 tulipotengana,kikubwa kwa mpenzi wangu huyo wa zamani kwanza yeye ndo alinitongoza nikamkubalia alinipenda sana ,alinipa fedha sana,nilianza kumpenda pia,Lakini 2liachana with no reason nilimuomba turudiane alikataa,cha kushangaza baada ya mda mrefu kutokuwasiliana jana kanipigia simu anataka nimsindikize sehemu....JE NIFANYEJE??je,nikamweleze hisia zangu kwake na kuwa ninataka iwe kama zamani??ushauri please.
 
Wewe unaonekana bwabwa na huyo dada humpendi ila unapenda hela zake anazokupa.
 
Golden chance never come twice,nenda kamchune tena wew c ulisema ulikua unahongwa hapo mwanzo,uwe makin kwan ucje ukazoea kijana,mjin hapa
 
Food engineer msindikize alafu mwambie i still love u so much... no one like u in this world all other women i see them like men.... ure the only woman exist in this world i love u so much... ooooh ma God sijui nikuelezee vipi hisia zangu unielewe huku unalia machozi na makamasi yakikutoka hapo awezi chomoa atakupa na hela ya kununua chipsi mayai
 
Usimwambie,kama Bado anakuhitaji atakwambia na kukupa pesa nyingi kama zamani!!!!
 
itafikia mahali Excel ukialikwa na miss neddy au shemejio Ntuzu kwa dinner unaleta thread ''shemeji na mpenzi wangu wamenialika dinner,je ni halali kwenda?,niende nisiende?''
long live jf
hahahaaaaa!!! eti niende au nisiende!!.... mi ntaleta uzi.. '' JAMANI, NIKO SERENA NA miss neddy, JE NIRUDI NYUMBANI AU NISIRUDI....?? hahahaaaa!!! mwallu goodmorning!
Dada yng mzima lkn?

Huyo Excel Huyo!
nakuona....
 
Last edited by a moderator:
mi nadhani hiyo Food engineering anayosoma hiyo, ipo siku tutalishwa body lotion badala ya keki... !! huyo ni mtu wa bachelor analeta habari za hivi?.. sorry for pali rocking!

Mkuu Excel habari yenyewe hata sikuielewa kabisa,sasa kama kweli Food engineer anashindwa kuandika kitu kikaeleweka basi nadhani na siku hizi kuna GPA 10!
 
Last edited by a moderator:
Dah, too low for higher learning student. Huwezi post kitu cha kitoto hivi mkuu.

Sasa hapo chuo unafanya nini?

Unamshangaa huyu? Mbona ana afadhali? Kuna vimeo zaidi ya hiki
 
wewe food engineer ni kijana muongo sana! Kumbuka jf sio sehemu ya kuleta habari za uongo uongo!!!!

Majuzi hapa umeleta habari za wanafunzi kufumaniwa na lecturer, nimefanya research mpaka sua nimegundua ni uongo!!!

Kijana kabla hatujafika mbali, tafadhali futa kwanza ile kauli, ama, toa maelezo yenye uhakika!!!

Habari kama ile ni nyeti, sina imani na wewe food engineer...
excel we kiboko.....umeshtukia dogo na vistory vya kubuni
 
Hehehe, kwa udaku sikuwezi! Utanisimulia pm mwaya ila usinitumie usijeniharibia kwarazma yangu

usijali.. baba bhoke yupo kwa ajili yako! lols!

mpaka sasa niko inbox gmail nasubiri hizo picha...!!
Food engineer nakungoja... yani mkuu sijaona file hata moja mpaka sasa..!!

nina uchu sana na hizo picha!
 
Last edited by a moderator:
yani maswali mengine bana...kama mie haopa..nataka nilete thread,''mchana umefika,nile nisile''?
hahahaaaaa!!! eti niende au nisiende!!.... mi ntaleta uzi.. '' JAMANI, NIKO SERENA NA miss neddy, JE NIRUDI NYUMBANI AU NISIRUDI....?? hahahaaaa!!! mwallu goodmorning!

nakuona....
 
Angalia salio lako la bank na wallet, utapata jibu tu. Haina haja hata ya kushauriwa.
 
Hi, guys nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa janeth,kwa mda mrefu 2likuwa wapenzi kwani 2lianza toka 2009 hadi 2012 tulipotengana,kikubwa kwa mpenzi wangu huyo wa zamani kwanza yeye ndo alinitongoza nikamkubalia alinipenda sana ,alinipa fedha sana,nilianza kumpenda pia,Lakini 2liachana with no reason nilimuomba turudiane alikataa,cha kushangaza baada ya mda mrefu kutokuwasiliana jana kanipigia simu anataka nimsindikize sehemu....JE NIFANYEJE??je,nikamweleze hisia zangu kwake na kuwa ninataka iwe kama zamani??ushauri please.
wewe ni janga la kitaifa!!mbona wanafunzi wa SUA huwa hawapo hivi????
 
Excel come this way umepata hzo picha za mnato from Food engineering ??

uuupsi mwanaume unapenda kuhongwa nyoooo...
acha ushamba eti yeye ndo alikutongoza soo ni vibaya binti kukeleza hisia zake??mbona unamtaka na kulia huku ufanyeje??

she get a new boyfriend anayejua dhamani yake anataka kwenda kukutambulisha
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom