X-Girl friend kaniomba nimsindikize

X-Girl friend kaniomba nimsindikize

Nyie vijana wakileo kweli akili zenu legelege sana, hivi hilo lakualika watu wakupe ushauri hapa?

Ndiomaana alikubwaga kwakuwa huna akili hata yakujitawala tu zaidi ya kuweza kutenganisha mboga na ugali na kuweza kuvukia barabara tu.

mkuuu tano za mikono yote miwili .
natumia sim kidude cha like hakuna bana. ningekubofyea.
MKUU #invisible tufikirie na ss wana wa sim hicho kidubwana cha like
 
Dah, too low for higher learning student. Huwezi post kitu cha kitoto hivi mkuu.

Sasa hapo chuo unafanya nini?
 
wewe Food engineer ni kijana muongo sana! kumbuka JF sio sehemu ya kuleta habari za uongo uongo!!!!

majuzi hapa umeleta habari za wanafunzi kufumaniwa na lecturer, nimefanya research mpaka SUA nimegundua ni uongo!!!

kijana kabla hatujafika mbali, tafadhali futa kwanza ile kauli, ama, toa maelezo yenye uhakika!!!

habari kama ile ni nyeti, sina imani na wewe Food engineer...

Mkuu Excel habari yenyewe hata sikuielewa kabisa,sasa kama kweli Food engineer anashindwa kuandika kitu kikaeleweka basi nadhani na siku hizi kuna GPA 10!
 
Last edited by a moderator:
hivi mitihani yako huwa unajibu vipi?? maana inaoneka processor ya ubongo wako iko slow sana, bado kidogo tu uwe zezeta...
swali la kizush - hiyo kozi yako inafundisha kupika vitumbua au kutengeneza sukari?

kudeki nyumba yenu
 
Nyie vijana wakileo kweli akili zenu legelege sana, hivi hilo lakualika watu wakupe ushauri hapa?

Ndiomaana alikubwaga kwakuwa huna akili hata yakujitawala tu zaidi ya kuweza kutenganisha mboga na ugali na kuweza kuvukia barabara tu.
umeua Kamanda!
 
Alafu na wewe Food engineer unataka mrudiane kwa sababu unampenda au kwa sababu alikuwa anakupatia fedha!Mwanaume mzima huna hata haya,unalelewa na #Janeth !!Kasome huko SUA wewe mtoto,unasumbua watu na maswali yasikuwa na maana,hata hilo unashindwa kufanya uamuzi unakuja kutafuta majibu JF!Utaachwa sana mdogo wangu
 
Last edited by a moderator:
Nyie vijana wakileo kweli akili zenu legelege sana, hivi hilo lakualika watu wakupe ushauri hapa?

Ndiomaana alikubwaga kwakuwa huna akili hata yakujitawala tu zaidi ya kuweza kutenganisha mboga na ugali na kuweza kuvukia barabara tu.

Mkuuu kipigo cha kalenga naona bdo knakuchanganya akili eeeee, nipe updates kwanza kesi imefikia wapi


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Hi, guys nilikuwa na mpenzi wangu anaitwa janeth,kwa mda mrefu 2likuwa wapenzi kwani 2lianza toka 2009 hadi 2012 tulipotengana,kikubwa kwa mpenzi wangu huyo wa zamani kwanza yeye ndo alinitongoza nikamkubalia alinipenda sana ,alinipa fedha sana,nilianza kumpenda pia,Lakini 2liachana with no reason nilimuomba turudiane alikataa,cha kushangaza baada ya mda mrefu kutokuwasiliana jana kanipigia simu anataka nimsindikize sehemu....JE NIFANYEJE??je,nikamweleze hisia zangu kwake na kuwa ninataka iwe kama zamani??ushauri please.

Nonsense at its wholistic. University student unahangaika na trivial things badala ya kufikiri kwa upana? Upo chuo kikuu kimakosa, ulipaswa kuwa sh.o.g.a mjini.
 
itafikia mahali Excel ukialikwa na miss neddy au shemejio Ntuzu kwa dinner unaleta thread ''shemeji na mpenzi wangu wamenialika dinner,je ni halali kwenda?,niende nisiende?''
long live jf
wewe Food engineer ni kijana muongo sana! kumbuka JF sio sehemu ya kuleta habari za uongo uongo!!!!

majuzi hapa umeleta habari za wanafunzi kufumaniwa na lecturer, nimefanya research mpaka SUA nimegundua ni uongo!!!

kijana kabla hatujafika mbali, tafadhali futa kwanza ile kauli, ama, toa maelezo yenye uhakika!!!

habari kama ile ni nyeti, sina imani na wewe Food engineer...
 
Last edited by a moderator:
Nyie vijana wakileo kweli akili zenu legelege sana, hivi hilo lakualika watu wakupe ushauri hapa?

Ndiomaana alikubwaga kwakuwa huna akili hata yakujitawala tu zaidi ya kuweza kutenganisha mboga na ugali na kuweza kuvukia barabara tu.

Wewe unayo akili ya kujitawala?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom