Kuna kipindi kinaitwa cheaters uwa kinaoneshwa kwenye channel ya e.tv kuhusu watu wanaoiba/kusaliti ndoa zao au mahusiano ya kimapenzi. Wachunguzi wanafuatilia mwizi wako akiwa na mke/mme wako na kumrekodi kwenye video na kuja kukuonesha kwenye video na baadaye kukupeleka sehemu ya kukutana na mwizi wako akiwa na mwenzi wako huko U.S.A. Hivi kungekuwa na wachunguzi kama hao hapa TZ hali ingekuwaje?