World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hizo team ulizotaja,wala sikuwepo huko kabisa,unamuona Shaqiri lakini?


namuona lakini wanatofautigani kama wanapoteza nafasi ya wazi kama ulivyoona?

kipa na mfungaji anampasia kipa badala ya nyavu!!!!!!!!! Ngoja mess apate nafasi kama hiyo namaanisha quality.
 
Noana kuna kila dalili kesho vijana watarudi home Buenos Aires

Cc Malafyale
 
Last edited by a moderator:
namuona lakini wanatofautigani kama wanapoteza nafasi ya wazi kama ulivyoona?

kipa na mfungaji anampasia kipa badala ya nyavu!!!!!!!!! Ngoja mess apate nafasi kama hiyo namaanisha quality.

You right kabisa!Nafasi hizi 2 angepata Messi ingekuwa 2 bila sasa
 
Hamjambo wakuu wana wedi kapu 2014? Ndugu yenu nawasalimia tu, sina mengi ila mnisaidie updates.
 
dk ya 39 , 0-0

mashambulizi ya kushitukiza

waswiswi wamekaza buti na vijibuti vya hapa na pale

mess na di maria wanapiga chenga nyingi badala ya magoli

Wanaudhi hao Messi kazoea mchezo wao wa Barca.
 
Noana kuna kila dalili kesho vijana watarudi home Buenos Aires

Cc Malafyale

Mkuu sidhani kama akina Rojos watafanya tena makosa kama haya mawili waliyo fanya!Uswis sasa walistahili wawe 2 bila lkn hii 0-0 itakuwa over turned na Messi atapata nafasi moja tu ata capitalize!
 
Back
Top Bottom