World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Diego costa is younger(25) than Adam lallana(26),,,teh teh teh hivi hajachakachua umri kweli km hawa waafrica na miaka yetu ya passport kweli? ImageUploadedByJamiiForums1404233671.503523.jpg


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Ndugu yaku karibu. pole kwa kukawia

ahsante sana nimeshakaribia ila leo mtaani kwetu tunaexperience maana halisi ya bara la giza kwa hiyo nitakuwa karibu nanyi humu jf ktk kupata dondoo za mchezo.
 
Mkuu sidhani kama akina Rojos watafanya tena makosa kama haya mawili waliyo fanya!Uswis sasa walistahili wawe 2 bila lkn hii 0-0 itakuwa over turned na Messi atapata nafasi moja tu ata capitalize!

Tatizo ninaloliona ni kuwa Argentina hawana Mfungaji/Mmaliziaji, wanamtegemea sana Messi kufanya kila kitu

Huyo Higuan kwa mtazamo wangu namuona yupo sawa na Gaudence Mwaikimba au Jerry Tegete
 
ahsante sana nimeshakaribia ila leo mtaani kwetu tunaexperience maana halisi ya bara la giza kwa hiyo nitakuwa karibu nanyi humu jf ktk kupata dondoo za mchezo.
pole ni letu sote hilo.
 
Back
Top Bottom