Maarufu kama 'Uncle Sam' au'watoza kodi' ndiyo USA!Mm ni shabiki wa USA!!Njoo kwenye team ambayo inahimiza uzalendo na stress freee
Argentina ile ya kina batistuta, requelmi huku unakutana na teamCaptain Ortega,,ilikua hatari tupu hawa wa sasa hivi wanarukaruka
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Hizo team ulizotaja,wala sikuwepo huko kabisa,unamuona Shaqiri lakini?Dk 90 zitakupoteza uelekeo wala hutaamin kitakacho tokea.
ulijiamini na Nigeria ikawa balaa...........
ukajiamini na Algeria ikawa balaa.........
uwezo wa mmoja mmoja wa waagentina na kitim ni zaidi ya team work ya akina shakhiri............hili liweke
mkumbukumbu. mwisho wa mechi fanya marejeo/reference.
Oooooooooooh god #teaMswaz
Mic u too my dear, mie sina timu leo ila naapreciate juu na chini,I mean watoto wa Obama na Kina Messi,ila nipo bado on the road updates zenu ni muhimu.