World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

I salute you kwa utabiri,bado nani tena kuongeza goli la ujerumani..Shwaz(siwezi kumalizia hili jina,spelling tatizo) ha ha..I fell Podolski,Klose safi ila kala chumvi sana naona!!..

utabiri umesimamishwa kwa sababu zisizoweza kuepukika hehehehe tunamshukuru sana sepu blata kwa kukataa hii teknolojia ya replay.
 
Allan Shearer anasema eti England wanaenda nje ya mashindano sababu ya goli kukataliwa! conspiracies hizi, wamezidiwa jamani.....!
 
Siwapendi england
but wakati umefika wa kutumia tv uwanjani.......
 
Wanaharibu kabisa hawa jamaa. Ndio maana nawazimia sana NFL na NBA....kanuni yao kuu ni mchezo kuchezwa na kuchezeshwa kwa haki. Dunia nzima imeona kitu kimeingia halafu refa na msaidizi wake wanalikataa....jamani this should be an outrage kwa wapenda haki wote ulimwenguni.
sijui matukio mangapi wanataka ku-prove replay inahitajika.i hope watakubali video technology baada hili tukio kutokea leo huku dunia nzima ikishuhudia.
 
tatizo ndio liko hapo kati mkuu hamna creativity kabisa,joe cole anafaa sana sema ndio hivyo kocha ana plan zake.
aaahhh mkuu... cole si anakimbia-kimbia tu!!! umesahau last game aisee

toa runi rearrange the team uone mambo
 
utabiri umesimamishwa kwa sababu zisizoweza kuepukika hehehehe tunamshukuru sana sepu blata kwa kukataa hii teknolojia ya replay.

Well,hata mie kweli nimeudhika sana japo sipo upande wa Eng..lile ni goli la wazi kabisa,halafu bosi wa FIFA yupo uwanjani afanye mabadiliko..
 
Allan Shearer anasema eti England wanaenda nje ya mashindano sababu ya goli kukataliwa! conspiracies hizi, wamezidiwa jamani.....!

mkuu hawa jamaa washajielewa kwamba hawana soka, sasa wanatafuta excuse ya kujitetea kwenye ma media yao , huwa nachekaga sana wakijiita FAVOURITE wa hili kombe , heheheeh
 
sijui matukio mangapi wanataka ku-prove replay inahitajika.i hope watakubali video technology baada hili tukio kutokea leo huku dunia nzima ikishuhudia.

Yeah exactly...kuanzia goli la Henry kwenye qualifiers....magoli ya Marekani kukataliwa...Kaka kupewa kadi nyekundu...yaani hii WC controversial calls nyingi mno ambazo zingeweza kuondolewa na instant replay. It's just not fair
 
yani hapo ndio england wamepata sababu ya kutolewa!!! eniwei its not over yet na naona german wameanza kuchechemea
 
Ni upumbavu tu kwa FIFA kuendelea kukataa kwenda na wakati ili mshindi katika kila mechi ya soka awe ni mshindi halali. Kama England watashindwa leo kwa magoli hayo 2-1 basi huu utakuwa ni wizi wa mchana kweupe.
 
Kwa kweli hata mimi nimesikitika sana england kunyimwa goli lao la halali kabisa walilolihangaikia.....its not fair kabisa.
 
hapana mkuu,bila haki kutendeka mpira haunogi unakuwa kama mechi za mchangani.

si ushakipiga mechi za mchangani mkuu?

kabisa mkuu na hiyo ulioongea ni pointi. am sure lile bao limewauwa hata wajerumani kisaikolojia ,si unaona vile wajerumani wamepwaya sasa. bora lingelikubaliwa tu ,tukaona kivumbi cha kweli. nitafurahi kama refa atawagaia waingereza penalti au bao la controversy ili at least spidi la gemu lirudi
 
nimeacha kushangilia ujerumani ,mechi naangalia tu imalizike ni subiri argentina vs mexico tuendelee na world cup.

mechi imeingia doa hii.
 
Well,hata mie kweli nimeudhika sana japo sipo upande wa Eng..lile ni goli la wazi kabisa,halafu bosi wa FIFA yupo uwanjani afanye mabadiliko..


Waingereza sasa wanalalamika kuhusu kukoekana kwa "goal techology" kwenye mashindano makubwa kama WC lakini ingekuwa imepigwa golini kwao wangeongea mengine hapa hata wasingekubali hiyo ya teknolojia ya magoli. Though FIFA hawajakubali hilo goli lakini Waingereza wanachukua kama ni kigez cha kuzidi kulalamika kama watatolewa manake TV zao kama BBC zinarejea hilo goli utadhani kama ile France na Ireland.
 
hapana mkuu,bila haki kutendeka mpira haunogi unakuwa kama mechi za mchangani.

si ushakipiga mechi za mchangani mkuu?

Lol....kama mechi za Abajalo na Linea Mesina pale uwanja wa magunia...refa kwa kuwaogopa watoto wa kihuni Abajalo anakataa magoli ya Mesina...ahahahahaha duuuh
 
Back
Top Bottom