World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Ndio matatizo ya mchezaji wa West Ham kumkaba mchezaji wa Bayern Munich..what u get is a mismatch.
 
Nani unamshangilia BJ? Mimi nawashangilia wa kwa mama, but they need to improve their performance in order to win this game.

Mwenzio hata sijui nipo wapi mechii hii!..Mshindi ndiye nitamshangilia BAK,ha ha...kwa mama naona wameshachapwa kimoja!!..Wewe uko wapi?
Ila mechi ya badae niko na Argentina!!
 
kaazi kwelikweli.... sioni kabisa england waki-create hata chance moja unless wafanye sub pale kati... hakuna coordination kati ya lampard, gerrard na barry

KWA MTINDO HUU, LEO HATA TATU AISEE
 
Mwenzio hata sijui nipo wapi mechii hii!..Mshindi ndiye nitamshangilia BAK,ha ha...kwa mama naona wameshachapwa kimoja!!..Wewe uko wapi?
Ila mechi ya badae niko na Argentina!!

Haya naona unangoja mshindi umfagilie lol!. Mimi leo niko kwa Mama lakini naona tayari tuko nyuma :angry:, sasa sijui kama tutasawazisha au kuongezwa lingine
 
roooney jabulani limemkataa naona
HAKUNA KITU MWANAWANE.... NDIO KIWANGO CHAKE KIMEISHIA PALE!!!

hamna refa wa kubeba, foreigners wa kumpa pasi, creativity ya kupiga chenga, akili ya kujipanga nk. he is just an overrated striker na hata akipata bao leo its because he has been given too many opportunities

TAKE HIM OFF, LET GERRARD PLAY BEHIND DEFOE AND BRING ON SWP UPANDE WA KUSHOTO

SURELY THEY MISS WALCOT
 
kaazi kwelikweli.... sioni kabisa england waki-create hata chance moja unless wafanye sub pale kati... hakuna coordination kati ya lampard, gerrard na barry

KWA MTINDO HUU, LEO HATA TATU AISEE

tatizo ndio liko hapo kati mkuu hamna creativity kabisa,joe cole anafaa sana sema ndio hivyo kocha ana plan zake.
 
Mara karibu nne, Rooney amepata mpira karibu na 18 ya Ujerumani akiangalia kulia mashati meupe mengi, kushoto hakuna shati jekundu hata moja, hivi left midfield wa England si Gerrard, mbona anachelewa sana? and what about Cole? Huku kushoto kwa England ndiko wanapaswa kuvuna kupitia Lahm, kule kulia yuko Boateng, Glenn hawezi pita huko!
 
podosky hebu npe gol nburudke mwenzio.................lol

leo waingereza wanatolewa bla ya tabu..
 
hahaha yaani naandka hyo msg hapo na pody anafanya vtu vyake 😀
 
Mbaya zaidi ni Milner au Barry anajivuta sana kufanya coverage, Glenn kaingia kati kuiba gap ya tela la Terry, hakuna midfield coming back and cover Podoski!
 
Back
Top Bottom