World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Heheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
rooney anunue daftari la mistari mikubwa na midogo akajifunze german wanavyofunga

hahahaaaaaaaaaa,i am very disappointed with the england midfielders na runi wao
 
Waingereza wakifungwa mechi hii labda FIFA watabadili uamuzi wa matumizi ya tech.
 
duh goli swaaaafi kabisa wamekataliwa , whatever , inabidi muingereza leo atoke tu
 
Haya naona unangoja mshindi umfagilie lol!. Mimi leo niko kwa Mama lakini naona tayari tuko nyuma :angry:, sasa sijui kama tutasawazisha au kuongezwa lingine

mmH! mashambulizi ya kina Podolski si mchezo, England kazi wanayo..nahisi bai bai hiyo!!..bora wamepata goli moja,ha ha..ndo mana nashabikia mshindi!..ila mechi ina upinzani hiyo!
 
I am so sorry for Terry, Ashley and Lampard! kuchezea hii timu ya England
 
Sepp Blatter ni dinasour anayeharibu soka.....kama kuna teknolojia inayoweza kusaidia marefa kwa nini isitumike kulate haki bana...sijali ni kwa nani dhidi ya nani mimi nataka haki itendeke na timu zishinde kihalali....is that too much to ask for? *** FIFA
 
Refa kawanyima Emgland goli....kitu kiliingia kile....refa anadinywa huyu.....na huyu Sepp Blatter kukataa instant replay ni mpumbavu kwa maoni yangu
kusema ukweli inatia uchungu sana kunyimwa goli dhahiri kama lile

i hope rooney anajivunza kutoka kwa waingereza wenzake maana naona anajaza namba tu

upson and lampard wawe mastriker
 
england mie siwaonei huruma .............wangelikuwa wamejitahidi group stage wangecheza na Ghana jana wakaingia robo fainali kwa pozi......

balaa la kukutana na mjerumani wamelitafuta kwa uzembe wao wenyewe.........
 
Na utabiri umekamilika , kinachofatia ni maangamizi tu sasa hehehehe leo raha kweli aisee

I salute you kwa utabiri,bado nani tena kuongeza goli la ujerumani..Shwaz(siwezi kumalizia hili jina,spelling tatizo) ha ha..I fell Podolski,Klose safi ila kala chumvi sana naona!!..
 
kipa wa ujerumani yuko sharp sana ,kaona goli kabisa lile kaenda kuanza mpira chap chap.

mshika kibendera ndio wa kumlaumu sana na FIFA kwa upumbavu wa kukataa replay kitu cha sekunde moja tu hili kusaidia haki itendeke.
 
kusema ukweli inatia uchungu sana kunyimwa goli dhahiri kama lile

i hope rooney anajivunza kutoka kwa waingereza wenzake maana naona anajaza namba tu

upson and lampard wawe mastriker

Ushabiki pembeni mimi nataka haki itendeke. Hilo tu na si zaidi na si chini ya hapo. Hivi Sepp Blatter anaweza kuelezeaje kukataliwa kwa lile goli jamani? Huyu jamaa anaharibu soka kabisa....sasa England wakitolewa leo 2-1 hiyo itakuwa wametolewa kihalali kweli huku goli lao limekataliwa? My sentiments are more about the principle of fairness than just sheer fanaticism.
 
FIFA wanaharibu mpira sana kwenye hili swala la kukataa replay.wameniaribia raha ya kushangilia ujerumani.hainogi kuona timu imekataliwa goli la wazi kabisa.
 
Hata Klinsman anasema ni "disgrace" refa kulikataa lile goli...nyambaaaf kabsisa Sepp Blatter....*** him
 
england mie siwaonei huruma .............wangelikuwa wamejitahidi group stage wangecheza na Ghana jana wakaingia robo fainali kwa pozi......

balaa la kukutana na mjerumani wamelitafuta kwa uzembe wao wenyewe.........

Tafadhari kaka/dada...
 
FIFA wanaharibu mpira sana kwenye hili swala la kukataa replay.wameniaribia raha ya kushangilia ujerumani.hainogi kuona timu imekataliwa goli la wazi kabisa.

Wanaharibu kabisa hawa jamaa. Ndio maana nawazimia sana NFL na NBA....kanuni yao kuu ni mchezo kuchezwa na kuchezeshwa kwa haki. Dunia nzima imeona kitu kimeingia halafu refa na msaidizi wake wanalikataa....jamani this should be an outrage kwa wapenda haki wote ulimwenguni.
 
Back
Top Bottom