Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,272
Matatizo ya kujiona yeye matawi ya juu.huyu kaka anamatatizo gani :mmph:
Matatizo ya kujiona yeye matawi ya juu.huyu kaka anamatatizo gani :mmph:
Angalia kwanza clip hii ya sheikh Yahya halafu tutabiri pamoja.
Kesho ni Tarehe 20/06/2010
Mechi kati ya Ivory Coast na Brazil
tukichukua herufi za mwanzo za kila timu tunapata idadi hii
Ivory Coast = 9
Brazil = 2
Kwa kuwa 2 inagawanyika kwa mbili na tisa haigawanyiki basi tuchukue herufi hizi za mwanzo ambazo zinakidhi masharti ya Sheikh Yahya na kuongeza tarehe ya mchezo
Kwa Brazil = 2+20 = 22 inagawanyika kwa mbili
Ivory Coast = 9+20 =29 haigawanyiki kwa mbili
Namba inayogawanyika kwa mbili timu yake itashinda. Nawakilisha hoja!
kwikwikwikwi!!!1
bado nipo ujue ndio navaa viatu naona muda unakaribia kufika
lawama namba moja iwaendee mods kwa kumuweka huyu mzee (shehe yahaya) kwenye hii sredi (msiniban ,natania tu)
lawama namba mbili imuendee erikson kwa kumuingiza gervinho kipindi cha pili
lawama namba tatu imuendee referee kwa mdebwedo aliouonesha goli la pili.
pamoja na yote IVORY tunakwenda 2nd round
habari iliyonifikia hv punde kutoka Soccer City J'Burg inasema kwamba....mende aina ya Ivory Coast aliyejaribu kuangusha kabati aina ya Brasil alijikuta akifia eneo la tukio japo alifanikiwa kuvunja glass yenye material aina ya Kaka.....teh teh teh
kaone kwanza!!!!!habari iliyonifikia hv punde kutoka Soccer City J'Burg inasema kwamba....mende aina ya Ivory Coast aliyejaribu kuangusha kabati aina ya Brasil alijikuta akifia eneo la tukio japo alifanikiwa kuvunja glass yenye material aina ya Kaka.....teh teh teh
hehehehehe bajaj yangu imepasuka mpira , ile sherehe imeahirishwa.
ishiii....jamani jamani
gemu ni 2-1,seriously fifa itabidi wa deal na hili li refa la guatemala.yaani kumbe aliona handball halafu akapeta tu,duu..halafu kwanini refa atoke guatemala?refa wa hii mechi ilibidi atoke europe au asia..pambaafff
gemu ni 2-1,seriously fifa itabidi wa deal na hili li refa la guatemala.yaani kumbe aliona handball halafu akapeta tu,duu..halafu kwanini refa atoke guatemala?refa wa hii mechi ilibidi atoke europe au asia..pambaafff
gemu ni 2-1,seriously fifa itabidi wa deal na hili li refa la guatemala.yaani kumbe aliona handball halafu akapeta tu,duu..halafu kwanini refa atoke guatemala?refa wa hii mechi ilibidi atoke europe au asia..pambaafff
lawama namba moja iwaendee mods kwa kumuweka huyu mzee (shehe yahaya) kwenye hii sredi (msiniban ,natania tu)
lawama namba mbili imuendee erikson kwa kumuingiza gervinho kipindi cha pili
lawama namba tatu imuendee referee kwa mdebwedo aliouonesha goli la pili.
pamoja na yote IVORY tunakwenda 2nd round
huyu sijui ndio keshaaga ulimwengu....haya fufuka basi drogba kawatoa kimasomaso
utamtaarifu na Belindajacob , simu yangu haina salio. Huyu referee katu cost sana bana . ukweli usemwe.