World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Hata mie nshawakatia tamaa hao CIV....Nilikuwa namjibu jamaa(Klorokwini) anayesema kwamba pamoja na yote CIV wanakwenda 2nd Round.........Ndo nkamwambia kwamba itategemea na matokeo ya game ya kesho kati ya Portugal na N.Korea.........Portugal ana nafasi kubwa ya kushinda,akishinda ni kwamba CIV are out.................Labda N.Korea wawaotee Portugal hiyo kesho

Agree with you. Kama Portugal atamfunga NC kesho basi IVC are out kwani Brazil watakachofanya kwa hasira za KAKA kutolewa watatoa draw na Portugal tu basi maana kufungwa hawatakubali. Good results will be for N.C ama kuifunga au kutoa draw na Portugal
 
he he he!
wapwa usiku wote huu mnajadiliana nini jamani?...........
mi nimeamka tu kidogo naenda msalani nakuta sredi inatembea mbaya


Hehhe hehhe nasi tulikuwa tunaenda msalani si wajua foleni ya msalani:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
Sikutegemea timu yoyote ya Afrika itwae WC10 ila hata kuingia 2nd round jamani? itabidi sasa waajiriwe makocha wazawa tuone mbinu zao!..Asubuhi njema!

BJ, miteam ya Africa ndivyo ilivyo! :angry:
 
hii ni aibu tunacheza kama hatutaki kuonesha kuwa tuna uwezo wa kucheza. Karibu timu zote za Afrika wanapenda kucheza back court; yaani ni kama kule mbele kuna moto wanaogopa kupasua viwanja. Utaona wana uwezo huo zikifika dakika za mwisho. Sijui ni woga, kutokujiamini au ndio kusubiria. Ukiangalia Cameroon walivyocheza mechi yao ya kwanza dakika za mwisho hadi unafurahia, ilikuwa hivyo hivyo kwenye mechi ya pili, na hata leo IC ni hivyo hivyo, yaani wanacheza kwa kusindikiza tu.. natamani niombe ukocha sasa.. we have to figure soka letu ni la namna gani.
 
kadri nilivyoangalia michezo mingi ya WC mwaka huu nimegundua kuwa mbinu za kisayansi kwenye mchezo wa mpira wa miguu zimfikia saturation level. Yaani kila timu inazijua; ndiyo maana timu za Marekani, New Zealand, na zile za Balkan zimefanya vizuri kuliko zilivyotegemewa na kuzikuta timu za kutisha kama Ufaranza, Italy, Uingereza na Ujerumani zikihaha. Ingawa timu za Afrika zimefungwa na kuondolewa kwenye raundi hii ya kwanza tu, ukweli ni kuwa hakuna timu ya Afrika iliyofungwa kirahis vile. Mabao yote yalikuwa yanapatikana ama kwa bahatibahati au kwa makosa madogo madogo ya walinzi, wala siyo kwa ubora wa wafungaji.

Kinachotakiwa katika muongo ujao ni kuwapata tena wachezaji wenye kuchanganya sayansi ya mchezo huo na mbinu zao binafsi ili kuwapita wapinzani bila kikwazo. Wafungaji mabao wa aina ya Pele na Okocha ndio watakaotakiwa tena katika siku za mbele.
 
Duh, Maombolezo makali hata picha hakuna?

Mkuu,

niliamua nikalale tu leo baada ya gemu ya New Zealnd na wa-Italiano maana nilijua mambo yatakua
magumu.

_48124423_009600991-1.jpg



_48124090_009601260-1.jpg

 
Back
Top Bottom