Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,266
Pata attachment ya WorldCup in Excel, Kadiri unavyojaza matokeo ndio unavyopata fixture kwa second round, quarter, semi and final zinavyojipanga.
Angalia kwanza clip hii ya sheikh Yahya halafu tutabiri pamoja.
Kesho ni Tarehe 20/06/2010
Mechi kati ya Ivory Coast na Brazil
tukichukua herufi za mwanzo za kila timu tunapata idadi hii
Ivory Coast = 9
Brazil = 2
Kwa kuwa 2 inagawanyika kwa mbili na tisa haigawanyiki basi tuchukue herufi hizi za mwanzo ambazo zinakidhi masharti ya Sheikh Yahya na kuongeza tarehe ya mchezo
Kwa Brazil = 2+20 = 22 inagawanyika kwa mbili
Ivory Coast = 9+20 =29 haigawanyiki kwa mbili
Namba inayogawanyika kwa mbili timu yake itashinda. Nawakilisha hoja!
kwikwikwikwi!!!1
hana lolote...kwa nini hakuwa akitabiri mechi zote...mwanga mkubwa huyu....kwani nani asiyejua Brasil watawafunga Ivory Coast....anaangalia penye mteremko eeeh!!!
Huyo mzee wala sijamfahamu anasema nini....anyway leo nyie mtashangilia Brazil au Ivory?
hapo kwenye buluu, kwa mara ya kwanza leo yule mende wako ataangusha kabati heehehehe tunampiga brazil bao mbili bila ya nguo (2-0).
Huyo mzee wala sijamfahamu anasema nini....anyway leo nyie mtashangilia Brazil au Ivory?
hapo kwenye buluu, kwa mara ya kwanza leo yule mende wako ataangusha kabati heehehehe tunampiga brazil bao mbili bila ya nguo (2-0).
hivi bado una matumaini na timu zetu.....au lile weldi kapu la ninihiii limeanza?
Brasil kwa kweli.....CMR jana walinisababisha nikasafiri kwenda Mars bila kupenda
Brasil kwa kweli.....CMR jana walinisababisha nikasafiri kwenda Mars bila kupenda
ni uzembe wa hapa na pale tu, lakini Ivories na Ghana wanakwenda through . lile weldikapu la nanihii namimi nimeanza kula matizi , lazima bongo ikishiriki mimi niwe striker heheheh