World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

africa bana...labda wakianzisha world cup ya mambo fulani tutakuwa tunashinda....:embarrassed:
 
Ni bora Africa kusiwe na mchujano kuingia WC tuwe tunakwenda kwa zamu zamu ili kila mtu kujaribu bahati yake
 
cameroun wangelicheza mpira huu siku ya japan ,tungelikuwa tunaongea vyengine leo ,lakini aaaargh. bring on BRAZIL ! com' on ivories
 
africa bana...labda wakianzisha world cup ya mambo fulani tutakuwa tunashinda....:embarrassed:

hehehe hata hiyo hatushindi , kuna wajomba kwenye misitu ya amazoni wanapiga sarakasi kama dozi za malaria
 
Yaleyale, chenga twawala, lati kama Denmark wangeanza kufunga goli basi Cameroon isingerudisha na mchezo ungeisha 1-0, Kwa nini hawa jamaa wasilinde goli baada ya kufunga?, Aghrrrrrrrrr
 
ni bora africa kusiwe na mchujano kuingia wc tuwe tunakwenda kwa zamu zamu ili kila mtu kujaribu bahati yake

he he he he idadi ya nchi africa......miaka 4-4 wc.....wakifuata alphabeti zamu ya tz itakuwa 2200............
 
hahahha umenivunja mbavu.....
ni kweli ndugu yangu,acha ucheke tu hizo ndizo fani zetu, na kuukataa uafrika ma kujikebehi ni sawa, na mtoto wa kiume kuukataa uanaume wake na kuamua kuwa shoga, atabadili jina lakini kamwe hawezi kuwa, mwanamke
kikubwa ni kujikubali tulivyo ndivy tulivyo, haaaaa haaaaa!
 
africa bana...labda wakianzisha world cup ya mambo fulani tutakuwa tunashinda....:embarrassed:

ha ha ha ha ha ha ha ..... hii ni kali sana, sikujua kama waafrika ni watalaam wa mambo flani!
 
Hapa dawa yake ni kushabikia timu inayoshinda tu ndio utaishi kwa raha na mustarehe , ila ukianza mambo ya kuegemea upande mmoja lazima utaumiza kichwa
 
Tumeweka historia nzuri sana katika first world cup in Africa. Goli la kwanza la mashindano limefungwa na timu ya Africa Tshabalala na timu ya kwanza kuaga mashindano ni timu ya Africa Cameroon. Haya sasa tuwaangalie na CIV kesho watakavyofanywa na Brasil, then sasa baada ya hapo kila mwafrica anahamia timu anayoijua wa Brasil haya, wa Argentina haya ili mradi kila mtu apate katimu ka kumfanya aendelee kuangalia mpira.
 
Back
Top Bottom