hicho kibendera kinasema 'all whites' mimi sijakielewa.....japo NZ itafungwa
hehehehe siku imeanza vizuri sana :horn::horn::horn:
Spagghetti tayari washawashwa kamoja.
he he he i love this WC.........i love it.................
Ndo kumekucha mkuu...mpira mtamu kweli leo!
Timu ya NZ ndo inaitwa All Whites si umecheki jezi, nadhani ya Rugby inaitwa All Blacks.
Hii ya leo sio jabulani mkuu?