hawa makocha wazungu wanatumaliza, it is time kusomesha wazalendo. Mechi iliyopita alimuacha Song na Geremy nje. Leo amemwingiza huyo jamaa mwenye jezi na.15, anachemsha kinoma na bado hamtoi. ahaa!
unajua nini mkuu,Mi siwapendi kabisa hawa......Wanatuhujumu.............Hasa yule wa Ghana
Cameroon wanadefence mbovu ajabu, defence kama ile ya China kule Korea mwaka nimesahu.
unajua nini mkuu,
balantanda, tatizo sisi weusi hatujiamini hata kwa punje ndogo tu, kwani ni kipi kipya ambacho hawa wageni wamekileta? Ona tunvyo chemka, kitu ambacho hatukifahamu ni kwamba hawa makocha woote wa kigeni ni vibaraka wa mataifa yao tu
hahaaaa! mkuu, na hatuwezi kuwa Asia, Europe au Amerika, tujipende tulivyo, kwanza hii fani tumevamia tu, sie waaafria fani yetu ni kucheza na ng'ombe, mbuzi kukimbiza kuku huku umevaa gunia na kuvutana na kambaaaargh acheni AFRICA liitwe AFRICA bana
MABADILIKO ya CMR huenda yakaleta uhai ngoja tuone ungwe ya pili hii..Geremi amekwenda nje kaingia Makoine
MABADILIKO ya CMR huenda yakaleta uhai ngoja tuone ungwe ya pili hii..Geremi amekwenda nje kaingia Makoine
Rigobeth Song............aaaaaaaaaaaaaaaaaaargh!!!!!!!!!!!!!!!
.........Africa ni wasindikizaji tu kwenye hii world cup, kombe mwaka huu naona litaenda South america.[/QUOTE]
Wapi Chile au?!
mkuu nadhani geremi bado yumo. au TV yangu ya kichina?