Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
vipi tena mkuu....rig.song kafanya nini??
Kazeeka.............
vipi tena mkuu....rig.song kafanya nini??
Kweli ila hawa SS3 walionesha anatoka Geremigeremi yupo katoka jamaa aliumia jichi jina sikumbuki......
vipi tena mkuu....rig.song kafanya nini??
Nazungumzia namna makocha wanavyotuhujum....Fikiria analiita lizee kama Rigobeth na kuwabania vijana mabeki wazuri tu.........We si uliona alivokuwa uchochoro Angola wakati wa AFCON?
............South america umeona chile tu? I mean kati ya hizo nchi za South america zinazoshiriki mojawapo inaweza kuchukua ubingwa ..........Africa ni wasindikizaji tu kwenye hii world cup, kombe mwaka huu naona litaenda South america.[/QUOTE]
Wapi Chile au?!