Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
Kenya ni middle income mkuu ila still wanapewa misaada sana! Pengine kuliko sisi.
Wana jf
Hiki ndio kishindo kikuu cha awamu ya tano kufika uchumi wa kati (middle income country ) M.I.C .
Ambapo benki ya dunia itaitangaza Tanzania kuwa inchi ya uchumi wa kati kwa kufikia GDI per capital ya U.S. $1026-12476
So kuanzia siku hiyo ule msemo wa sisi sio maskini wa rais magufuli utakuwa bayana
USSRView attachment 1489538
China ni nchi ya ngapi kiuchumi duniani?You must be joking. Tarehe 1/7/200? That comes with a price tag. Misaada itapungua. Unafikiri kwa nini China mpaka leo hii haitaki kuitwa nchi iliyoelendelea?
Source ni kama hili jambo lilitokea Kitambo huko, back in 2018Wana jf
Hiki ndio kishindo kikuu cha awamu ya tano kufika uchumi wa kati (middle income country ) M.I.C .
Ambapo benki ya dunia itaitangaza Tanzania kuwa inchi ya uchumi wa kati kwa kufikia GDI per capital ya U.S. $1026-12476
So kuanzia siku hiyo ule msemo wa sisi sio maskini wa rais magufuli utakuwa bayana
USSRView attachment 1489538
Sisi sio ninyi.Ila people kwenye ground wanapigika si kitoto.
Acha nyege wew tuliza kende.....mtajua hamjui..Ila people kwenye ground wanapigika si kitoto
Kuchapika ni Pie, hata Ulaya na japani kuna kuchapika.Ila people kwenye ground wanapigika si kitoto
Ni mkataba flani ivi ulikuwa unabuniwa kati ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na Umoja wa Ulaya. Ungelazimisha pande zote mbili kufungua masoko yao na kuruhusu bidhaa kuingizwa kutoka upande wa pili bila kodi/tozo. Kati ya watu waliokuwa mstari wa mbele kupinga ni Rais Mstaafu wa awamu ya tatu mzee mkapa. Alisema kuruhusu bidhaa kutoka Ulaya kuingia Tanzania bila kodi kutaua viwanda vya Tanzania.East African Community - European Union Economic Partnership Agreement. Inahusu nini?
Hiyo ni list ya nchi zilizobadilishwa status zao tu. Nadhani Ghana ilikuwa ni middle income toka mda ndio maana haipo hapo.Ukubwa unakuja na changamoto,hii mambo ya kuitwa Lower middle Income bado ni matusi ingawa ni hatua nzuri.Vipi kuhusu Ghana mbona siioni hapa