Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Unamsifia JK sababu mlifanya TZ shamba la bibi sio. Sasa mtakula mlipo fanyia kazi nyambafKwa mwendo aliokua anakwenda nawo JK mngetoka kipindi kile, awamu ya sasa mumekua kisiasa zaidi na wenye hasira hasira full visasi. Hawa hawa World Bank walishusha namba za ukuaji wenu mkawatukana sana, leo wamesema mnakaribia kutoka kwenye LDC mnawakubali fasta.