Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
Hakuna kitu hicho. Unawajua GAVI na Global Fund? Nchi za uchumi wa kati km Botswana hazipati msaada wa GAVI Alliance na Global Fund. Lakini huwa hawakati mara moja. Wanakuachisha taratibu kama mama anamwachisha mtoto kunyonya.
Kenya ni middle income mkuu ila still wanapewa misaada sana! Pengine kuliko sisi.