World Bank: Mwaka 2012 kulikuwa na Watanzania masikini milioni 12; hadi kufikia mwaka 2018 waliongezeka masikini milioni 2!

Yea ni kweli, kwangu mimi Magufuli (na watangulizi wake) amekosea hapo, huwezi kupunguza umaskini bila ya kudhibiti ongezeko la watu bila ya mpangilio, huo ukuaji wa uchumi hautakuwa na maana yoyote kama kila mwaname ana watoto 5.2 kwa wastani wakati kipato hakuna, ...
hapa sasa tuko kwenye ukurasa mmoja, isipokuwa watangulizi wa Magufuli hawakuwahi kupigia chapuo watu kuzaana. ndiyo maana chini ya JK umasikini ulikuwa unapungua kuliko sasa!
 
hapa sasa tuko kwenye ukurasa mmoja, isipokuwa watangulizi wa Magufuli hawakuwahi kupigia chapuo watu kuzaana. ndiyo maana chini ya JK umasikini ulikuwa unapungua kuliko sasa!


Siyo kweli vinginevyo Tanzania tusingekuwa karibia milioni 50 leo hii, zingatia kwamba wakati tunapata uhuru mwak 1961 tulikuwa milioni 8 tu, hivyo kwangu mimi hakuna tofauti wote hawakufanya chochote kudhibiti ongezeko la watu bila ya mpangilio, ...
 
Huu si uzushi wa Mwalimu M-Mbabe, la hasha. Ni taarifa rasmi kutoka World Bank.

Awamu ya 4 ilipunguza idadi ya masikini kutoka milioni 13 mwaka 2007 na kufikia milioni 12 mwaka 2012.

Chini ya awamu ya 5, idadi ya masikini ili shoot kwa milioni 2 ndani ya miaka 3 tu ya uongozi wake. Tafsiri ni kwamba awamu ya 5 imekuwa ikizalisha Watanzania masikini badala ya kupunguza ambayo ni kinyume kabisa na trend ambayo awamu ya 4 ilikuwa inaenda nayo.

Kwa hiyo ni dhahiri kuwa kama nchi chini ya awamu hii ni kama tunatwanga maji kwenye kinu.

Watanzania tunapaswa kufanya maamuzi yenye tija October mwaka huu.

Tanzania - Mainland Poverty Assessment 2019 : Part 1 : Path to Poverty Reduction and Pro-Poor Growth
This report provides a comprehensive analysis of poverty and inequality in Tanzania and identifies some priority actions if poverty is to be reduced. The analysis is contained in two parts.

The first part is based on the results of the Household Budget Surveys (HBSs) for 2017-18, 2007, and 2011-12; several rounds of National Panel Surveys (NPSs); and Demographic Health Survey (DHS) data; it also combines spatial information from the population census and other sources with HBS data to (1) provide a rigorous analysis of the evolution, profile, and determinants of poverty and inequality; (2) explore movements in and out of poverty and their drivers; and (3) examine the distribution of poverty and living conditions across the country at a detailed geographic level.

The second part examines the pattern of structural transformation, firm profiles, job creation, and financial inclusion using the rebased GDP figures released in February 2019 plus data from the Statistical Business Register (SBR), Census of Industrial Production (CIP), national accounts, NPS, Integrated Labor Force Surveys (ILFS), and other sources. Executive summary can be found here 431111575939381087/executive-summary

View attachment 1503509

2012 hadi 2018 wamezaliwa watu mil ngapi pia? Population sio static.. Hao waliozaliwa masikini ni wengi sana tu, hivyo idadi ya masikini itaongezeka zaidi sbb wengi wamezaliwa na ni masikini.

Hivyo isijengeke dhana kuwa serikali ya CCM ndio imeongeza idadi ya watu kuwa masikini, sababu kubwa 99% ni population growth 2012 - 2018 automatically inafanya idadi ya watu masikini kuongezeka, hiyo 2mil ya watu masikini kuongezeka sbb kubwa 99% ni population growth.
 
Unaujua mlipuko wa ongezeko la watu Tanzania? Bila kuingiza hilo takwimu,hizo takwimu ni hazina maana, kwa kifupi kulikuwa na watu wangapi TZ 2012 vs 2020?
Ni wapi ulijifunza kwamba watu wakiongezeka umasikini unaongezeka? Inawezekana ccm ikawa ni tanuli la kupunguza akili za watu hebu tazama dubwasha kama hili, hakika baadhi ya mabao yangepelekwa chaputa angalau kupunguza idadi ya wapumbavu afu utakuta dude kama hili lipo kwenye maamuzi.
 
Ni wapi ulijifunza kwamba watu wakiongezeka umasikini unaongezeka? Inawezekana ccm ikawa ni tanuli la kupunguza akili za watu hebu tazama dubwasha kama hili, hakika baadhi ya mabao yangepelekwa chaputa angalau kupunguza idadi ya wapumbavu afu utakuta dude kama hili lipo kwenye maamuzi.


Hata logic ya kawaida tu huwezi kutumia? Ngoja nikusaidie una watoto wa 2 unapata laki 5 kwa mwezi kama Mshahara, unaongeza watoto wengine 2 na kuwa 4 lakini kipato chako kimeongezeka (kama una bahati) kwa shilingi elfu 20 au hata hakijaongezeka kabisa je, familia yako itakuwa tajiri au masikini kulinganisha kabla na baada ya ujio wa watoto 2 wa nyongeza?
 
Sasa Kama hawajishughulishi unataka nani awabebe? Maisha ni mapambano,usisubiri eti mazingira wezeshi.
 
uu si uzushi wa Mwalimu M-Mbabe, la hasha. Ni taarifa rasmi kutoka World Bank.

Awamu ya 4 ilipunguza idadi ya masikini kutoka milioni 13 mwaka 2007 na kufikia milioni 12 mwaka 2012.

Chini ya awamu ya 5, idadi ya masikini ili shoot kwa milioni 2 ndani ya miaka 3 tu ya uongozi wake. Tafsiri ni kwamba awamu ya 5 imekuwa ikizalisha Watanzania masikini badala ya kupunguza ambayo ni kinyume kabisa na trend ambayo awamu ya 4 ilikuwa inaenda nayo.

Kwa hiyo ni dhahiri kuwa kama nchi chini ya awamu hii ni kama tunatwanga maji kwenye kinu.

Watanzania tunapaswa kufanya maamuzi yenye tija October mwaka huu.

Tanzania - Mainland Poverty Assessment 2019 : Part 1 : Path to Poverty Reduction and Pro-Poor Growth
This report provides a comprehensive analysis of poverty and inequality in Tanzania and identifies some priority actions if poverty is to be reduced. The analysis is contained in two parts.

The first part is based on the results of the Household Budget Surveys (HBSs) for 2017-18, 2007, and 2011-12; several rounds of National Panel Surveys (NPSs); and Demographic Health Survey (DHS) data; it also combines spatial information from the population census and other sources with HBS data to (1) provide a rigorous analysis of the evolution, profile, and determinants of poverty and inequality; (2) explore movements in and out of poverty and their drivers; and (3) examine the distribution of poverty and living conditions across the country at a detailed geographic level.

The second part examines the pattern of structural transformation, firm profiles, job creation, and financial inclusion using the rebased GDP figures released in February 2019 plus data from the Statistical Business Register (SBR), Census of Industrial Production (CIP), national accounts, NPS, Integrated Labor Force Surveys (ILFS), and other sources. Executive summary can be found here 431111575939381087/executive-summary

1594452600050.png
Umasikini umepungua kwa asilimia 24 kuanzia mwaka 2007 - 2018. Hii ni average ya 2.4% kwa mwaka.
Population Tanzania inaongezeka kwa asilimia 3 kwa mwaka.
1594457196066.png


Kwa hiyo, asilimia ya watu maskini imepungua ingawa idadi imeongezeka. Huo mstari mwekundu ni jinsi asilimia ya watu masikini ilivyopungu na hizo bars ni idadi il
Kwenye nyuzi kama hizi huwezi kuwaona Lumumba buku 7 f.c .
Tupo angalia hapo juu.
 
2012 hadi 2018 wamezaliwa watu mil ngapi pia? Population sio static.. Hao waliozaliwa masikini ni wengi sana tu, hivyo idadi ya masikini itaongezeka zaidi sbb wengi wamezaliwa na ni masikini.

Hivyo isijengeke dhana kuwa serikali ya CCM ndio imeongeza idadi ya watu kuwa masikini, sababu kubwa 99% ni population growth 2012 - 2018 automatically inafanya idadi ya watu masikini kuongezeka, hiyo 2mil ya watu masikini kuongezeka sbb kubwa 99% ni population growth.
hapo ndipo tatizo lipo.

trend ya population siku zote na mahala pengi sana duniani huwa ni kuongezeka mwaka hadi mwaka.

kiongozi mzuri na mwenye akili sawa sawa ni yule anaye harmonize population growth vs country's income and wealth distribution.
JK aliweza kufanya hivyo kwani chini ya uongozi wake alipunguza idadi ya masikini kwa 1M kati ya 2007 na 2012 huku population ikiongezeka.

kwa hiyo pamoja na population kuongezeka, bado JK alitengeneza trend ya kupunguza umasikini miongoni mwa Watanzania.
swali ni... jee, ni nini kilichomshinda mrithi wake (JPM) ambapo inaonyesha dhahiri kuwa Watanzania wengi zaidi wanazidi kutumbukia katika lindi la umasikini? kwa nini kashindwa ku mantain +ve trend ya JK?

chochote kiongozi unachokifanya ni lazima kiwe na lengo la kupunguza umasikini kwa watu unaowaongoza. ukishindwa kufanya hivyo then hufai kuendelea kuwa kiongozi wa watu hao!
 
Hayanihusu ila nimejikuta nacheka hapa kama chizi kwa comment yako, nilikua napita kimya lakini imebidi nikutaarifu tu kwamba umetisha cc: Drone Camera
Population imekua kaka.Hawazaliwi matajiri pekee.
Halafu cheki hapa chini👇👇👇
Wanaoishi kwenye umasikini=14M
Jumla idadi ya watu=60M
14/60 × 100% = 23.33%.
Only 23.33% live in poverty. Kwenu ni 35% hehehe.
 
Umasikini umepungua kwa asilimia 24 kuanzia mwaka 2007 - 2018. Hii ni average ya 2.4% kwa mwaka.
Population Tanzania inaongezeka kwa asilimia 3 kwa mwaka.
View attachment 1503562

Kwa hiyo, asilimia ya watu maskini imepungua ingawa idadi imeongezeka. Huo mstari mwekundu ni jinsi asilimia ya watu masikini ilivyopungu na hizo bars ni idadi il

Tupo angalia hapo juu.
taarifa uliyoweka umeitoa NBS (ambayo always ipo lop sided kwa vile NBS ni instrument ya watawala).

taarifa yangu nimeitoa WB.... this speaks volume!
 
Mkuu unaweza kuwataja kwa majina hao walioongezeka??
Mmoja wao ni wewe ndo maana unataka kujua majina ya wenzako kama ni ya kule ili uone nafasi yako na uwezekano wa uteuzi ujao wa kabla ya uchaguzi. Unauliza swali wakati muafaka maana anayeteua yuko kwenye uteuzi wake mwenyewe wa kugombea uchaguzi ili aongezewe miaka mingine 5 ya kuteua wote wa kule katika nafasi mbalimbali wewe ukipata uDC kwa ujinga wako. Tuliobaki yanayotokea Dodoma ni janga la ongezeko la umasikini mkali zaidi.
 
Siyo kweli vinginevyo Tanzania tusingekuwa karibia milioni 50 leo hii, zingatia kwamba wakati tunapata uhuru mwak 1961 tulikuwa milioni 8 tu, hivyo kwangu mimi hakuna tofauti wote hawakufanya chochote kudhibiti ongezeko la watu bila ya mpangilio, ...
swali ni....jee JK aliwezaje kupunguza idadi ya masikini pamoja na population increase?

kiongozi yeyote anapaswa kuwaondoa wananchi wake kutoka lindi la umasikini.... akishindwa hafai kuenedelea kuwa kiongozi!
 
Population imekua kaka.Hawazaliwi matajiri pekee.
Halafu cheki hapa chini👇👇👇
Wanaoishi kwenye umasikini=14M
Jumla idadi ya watu=60M
14/60 × 100% = 23.33%.
Only 23.33% live in poverty. Kwenu ni 35% hehehe.

Kwanza umecheck takwimu zilivyo, kwamba JK alikua amepunguza umaskini pakubwa, mkaja nyie na mikwara na makelele yenu na kuzalisha maskini wengi.
 
Back
Top Bottom