Women with higher IQ's...

Women with higher IQ's...

Acha nikuweke sawa rafiki, mwanamke mwenye IQ hiyo inayoonekana ni kubwa, three things is involved, kwanza itamsaidia kupata mwanaume mwenye mambo mengi, kwa hiyo mwanamke huyo atatumika kama nyenzo ya kupanga mashambulizi ktk kupambana na maisha, fanya uchunguzi kwa hili..

Pili, mwanamke huyo atawezakuishi na familia yake considering all factors remain normal, nikimaanisha hazingui na kuwatangulia wanaume, hivyo wanaume watamuoa na kuishi na atakuwa mama bora kuleo watoto,

Tatu na mwisho Huyo tunaeona ana IQ atajikuta kwanza wanaume wanamkwepa, anakua na tabia za kunguru, yaani hafugiki, si ANA IQ?? tangu lini ukafuga paka nunda? wanawake wa aina hii wanaume tunagonga na kuteleza/kutambaa, hatukubali watunganganie, namara nyingi hawa hatuwadanganyi kuwa sijaoa, huyu unamwambia ukweli, ajue una mtu, ili asikugande maana ni sumu, ni wembe, ukikaa mbele yake anakuzoa, sisis wanaume wazoeefu wanawake kama hawa, najua wanasoma post hii, hatusemi neno, unakaa kimya yeye anabwabwajaaa, wwe unamkubalia tu, akitaka keshi unampa, nk unakwepa kelele, siku akikupa tunda mzee unakula, unapotea na unamkimbia kweli tena hurudii mara mbili wanawake wa aina hii, ndo maana wanaliwa na wanaume wengiii sana, wengi utawakuta ni manunga embe, nakujiliwaza.. izacck siku moja aliwaambia mwanamke ana stage 3 za ukuaji, pana umri anakuwa mdogo na havutii sana, ila anaweza akala undele wake, pili, middle , anakuwa mzuri kupindukia, na ni lazima kila mwanamke apite level hii, wengi wao hupoteza wakati/muda huu, kujidai maisha hayana mwisho, approx miaka 18-27, akigusa 27,28 anashituka na hapa wanaume tunakaa pembeni maana hata hapa alikuwa kama kiti cha daladala kila mtu kakikalia, atahangaikaaa wengine wanafanikiwa na wengine ndio basi tena unungaembe huchukua nafasi..wengi wao wangekuwa makini wangetulia umri wa 23...wakishafikisha 34...huko ndo baaasi tena.

nimesema hivi ili wajijue labda itasaidia waache, nimehangaika na mwanamke ktk umri huo na wkt huu ndo alikuwa mtam, lkn ukila jioni au siku ya pili unaona kabisa kitumbua kimeliwa na mtu mwingine, tundu unaona kabisa limekuwa size ambayo sijaiiacha, yaa ndio, sisi wanaue tunajua, na ndo mana nilipopata msicha mwinine niimwambia asiwe anavyoa v..u..uzi kwa sabb najua wanaume hawapendi kufyeka msitu wale matuna.. so ilikuwa mbinu yangu mndele wangu asiliwe.. nashauri wawe wapole watapata majamaa y kuwaoa hasa kama ana mshiko ahhaaaa wanaume tunapenda mshiko tutaoa, ukikuwa waliolewa wanahela na jamaa lipo kumendea hela,

pata kawimbo haka
https://www.youtube.com/watch?v=A6pE2kcXLYU



Duh! this is one of the highest IQs (IGNORANCE QUOTIENT) have ever witnessed since i joined JF!
 
nina konfesheni hapa, ila umri hauruhusu kuanika mambo kadhaa, ila nimefarijika 🙂

Ndio unakua sasa, gademu! !!!!

We unadhani watu hatuwaoni hao wanaoitwa "cutie" ???!!!
Purposive sampling mamaaa!!!!!

Ila ukikuta kisu halafu kichwa daaanh, "nionee huruma mwenzio nina mke na watoto" alisikika akilalama kijana yule wa miaka ya thelathini ya kati mbele ya mdada yule ambaye ni mrembo kwa muonekano baada ya kumbana njemba kwa hoja!!!!
 
wewe mama Evz,guts za kuniquote umepata wapi...???

hapo kwenye blue record zako zinaonesha jinsi ulivyo na iq kubwa...(visanga vyote hivi at just the age of 21..what a drama queen!!)
vigodoro kuanza rasmi kesho. Hakuna kulala mpaka heshima ipatikane.

Started by Evz, 28th July 2014 21:28
kanipa likizo mpaka kombe la dunia liishe.

Started by Evz, 17th June 2014 17:31
Mambo yamekuwa mazito kwenye ndoa yangu

Started by Evz, 11th June 2014 16:32
Nina ujauzito, tatizo langu mguu wa kulia unaniuma sana

Started by Evz, 9th June 2014 23:10

wanaume wa type hii huwa wananikosha.

Started by Evz, 7th June 2014 16:31
nataka nimsaliti lakini naogopa

Started by Evz, 17th May 2014 15:57
Mume wangu ananifundisha kunywa pombe

Started by Evz, 16th May 2014 00:11
Mme wangu anatembea na rafiki yangu
Started by Evz, 15th May 2014 14:18

Niamini leo kuwa ndoa ni ndoano

Started by Evz, 16th May 2014 17:19

hahahahahhahahah umeua mi nataka records za visanga vya lara lol
 
kuna mahali nimeuliza tunaipimaje?
Sikujibiwa.


Sina weledi sana kwenye maswala ya IQ lakini nilipekenyua kidogo, kwamba hii kitu husomei ni ya kuzaliwa nayo, na kwamba haipimi the quantity of ur knowledge but rather measures a person's general intellectual ability to understand ideas, ikilinganishwa na jamii nzima yenye ngazi moja ya kimaendeleo, how well we reason, distinguish relationships and solve problems are the kinds of things the test aims to discern.

While IQ tests can be quite predictive of general intelligence, ni muhimu kukumbuka they don't purport to tell the whole story of a person's abilities. Vitu ambavyo IQ test haiwezi kupima ni pamoja creativity, emotional sensitivity and social competence. An IQ test also measures how well we process information, particularly our ability to store and retrieve it.

Hata kama utaugua magonjwa ya akili, a person's IQ tends to stay about the same throughout life. Kwa hiyo nikirejelea kwenye uzi, sasa hapa I will call for help…
Kongosho, Lala1, King'asti, Mankana wajanja wengine tushirikiane kama sio kushikamana kutoa jibu sasa.
Hivi ni vigezo gani ladies with HIGHER IQ wanaviangalia ili kupata mwanaume sahihi?

Na mwanaume sahihi ni yupi, hivi usahihi wa mtu unaweza kuwa sawa kwa kila mtu? Nimeona michango kibao but nahisi maelezo na majibu ya hapa yanaweza kujibu vizuri thread hii... ni mtazamo tu
 
Back
Top Bottom