Women with higher IQ's...

Women with higher IQ's...

Tyta best ukumbuke nakusaidiaga vimeo vyako kabla hujafukunyua qoute zangu za nyuma kunipaka matope!

hahahh worry out...Tyta is just like the U.S.A ''NO PERMANENT NEMESIS,BUT RATHER EVERLASTING INTERESTS''
 
ha ha ha, unataka ugomvi na watu, japo ni ukweli mtupu.

Kuna wanamme ukikaa nao mwaka mzima lazima upate kiharusi.

Bora kusubiri aisee
I would have waited forever aisee. Unajua kukaa na mwanaume mwenye iq ndogo ni mzigo, bora uwe single ila ubake mwenye iq walau usizae watoto akili fupi hehehe
 
Women with higher IQ's have a harder time finding a mate,Intelligent women would rather remain single than be with the wrong person....! Cc: Jf higher IQ's women.
Lala1 mchokozi huyu huku!
 
Last edited by a moderator:
ref to my post #18 ...you will find the answer to your question...
one thing for sure ...ningem''tag'' another dude usingeniuliza hili swali...
We jikoshe tu, hio 18 si u eweka baada ya kuchambwa na my baby!? Hahahaaaaa! Kubali tu unanikubali! Hutokufa au kubabuka! Hihihihihihhhhiiiiiiiii!
 
MY IQ HAS ALWAYS BEEN THE BIGGEST ALL MY LIFE! Si jf tu, hata ofisini wananijua MPIKA SUMU, na nikiikupikia sumu kazi lazima uache! Shule kwenyewe kwa fitna na propaganda sijambo! Basi tu bi mkubwa kanikataza kufanya SIASA lasivo hakuna ambae angeniweza kwa sumu!

Mama huwaga anawaambia wageni, be warry not to cross her path, she is not as dumb as she looks, matter of fact she is the most dangerous, akikupikia fitina humu ndani hutokaaa! Hahahaaaaa! Chokoza wooote, wanangu nimewazaa ili hio namba hapo ni namba tasa achana nayo kabisaaa! You are no match for her!

its blessing and a curse
 
I would have waited forever aisee. Unajua kukaa na mwanaume mwenye iq ndogo ni mzigo, bora uwe single ila ubake mwenye iq walau usizae watoto akili fupi hehehe

Sasa dada yangu umenikuna ngoja niwape siri ambayo Wanawake nao hawaijuhi kuhusu Wanaume kamili wanaojielewa siyo wale nyege mkononi....

Ni kwamc wanaume wote makini ukiweka mapenzi pembeni wanaangalia zaidi IQ ya mwanamke na akishaigunduwa swala ndoa wala utamuuliza wewe mwanamke ni yeye mwenyewe anapropose kwa ukweli kabisa,

Tatizo kubwa naliona hasa la uchumba Sugu ni kwamba wanawake wengi warembo wana poor IQ na wanaume huwa wanakuwa kama spotlight tu na kuoshea tu, lakini ikifika issuue ya kuoa utashangaa mwanamke anayemuoa anakuwa siyo mzuri sana kivile kama huyu mrembo ambaye hakumpa heshima ya kuwa mke.

Si kwamba wanaume wanawaogopa wanawake warembo hapana ila wengi wao yale madraya ya salon yameshaharibu ubongo wa wanawake wengi.

ukitaka kuthibitisha hili wachunguze sana wanawake wanaonyoa vipara, wanaochana tu nywele zao asili na kufanya air cut kuna kitu utagunduwa.
 
Sasa dada yangu umenikuna ngoja niwape siri ambayo Wanawake nao hawaijuhi kuhusu Wanaume kamili wanaojielewa siyo wale nyege mkononi....

Ni kwamc wanaume wote makini ukiweka mapenzi pembeni wanaangalia zaidi IQ ya mwanamke na akishaigunduwa swala ndoa wala utamuuliza wewe mwanamke ni yeye mwenyewe anapropose kwa ukweli kabisa,

Tatizo kubwa naliona hasa la uchumba Sugu ni kwamba wanawake wengi warembo wana poor IQ na wanaume huwa wanakuwa kama spotlight tu na kuoshea tu, lakini ikifika issuue ya kuoa utashangaa mwanamke anayemuoa anakuwa siyo mzuri sana kivile kama huyu mrembo ambaye hakumpa heshima ya kuwa mke.

Si kwamba wanaume wanawaogopa wanawake warembo hapana ila wengi wao yale madraya ya salon yameshaharibu ubongo wa wanawake wengi.

ukitaka kuthibitisha hili wachunguze sana wanawake wanaonyoa vipara, wanaochana tu nywele zao asili na kufanya air cut kuna kitu utagunduwa.

Nimekupenda bure... Lakini sio kimapenzi tafadhali make lara 1 hakawii kunijia PM na goma la mkodobwe!!
 
Last edited by a moderator:
Sasa dada yangu umenikuna ngoja niwape siri ambayo Wanawake nao hawaijuhi kuhusu Wanaume kamili wanaojielewa siyo wale nyege mkononi....

Ni kwamc wanaume wote makini ukiweka mapenzi pembeni wanaangalia zaidi IQ ya mwanamke na akishaigunduwa swala ndoa wala utamuuliza wewe mwanamke ni yeye mwenyewe anapropose kwa ukweli kabisa,

Tatizo kubwa naliona hasa la uchumba Sugu ni kwamba wanawake wengi warembo wana poor IQ na wanaume huwa wanakuwa kama spotlight tu na kuoshea tu, lakini ikifika issuue ya kuoa utashangaa mwanamke anayemuoa anakuwa siyo mzuri sana kivile kama huyu mrembo ambaye hakumpa heshima ya kuwa mke.

Si kwamba wanaume wanawaogopa wanawake warembo hapana ila wengi wao yale madraya ya salon yameshaharibu ubongo wa wanawake wengi.

ukitaka kuthibitisha hili wachunguze sana wanawake wanaonyoa vipara, wanaochana tu nywele zao asili na kufanya air cut kuna kitu utagunduwa.

Wanawake 'warembo' mtoe majibu...watu wanaogopa kuwaoa kwasababu wanajua watamegewa na mapapaa...ukizaliwa mrembo sana utafurahia kutongozwa kila uendako na hivi tunaishi zama za digitali ukienda facebook friend request za kumwaga, whatsapp hi za kufa mtu, BUT kuolewa na kupata ndoa imara ndio inakuwa drama. Hongereni kwa kusumbuliwa na wanaume lakini poleni kwa kuogopwa kuwekwa ndani...pigeni magoti msali
 
She is mine, nilichofanya ni kukupa challenge wewe kwamba kwa sababu hata wewe kuna misimamo yake baadhi hukubaliani naye so why usichukulie hiyo ndio poor IQ Yake?

Lara hatukukutana barabarani she mean a lot to me.
Yalaaa..... wivu mie
 
Back
Top Bottom