Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,580
Mimi hapa ndio nimesema tena nashangaa ni kwa nini maprofesa wetu ambao wengi wana poor IQ hawajamtunuku PHD Bakhresa badala yake hizo PHD za heshima wanapewa watu walioshindwa kama Kikwete.Kuna mmoja kasema nyumba anayomiliki ni kipimo tosha. I think iq ya bakheresa si mchezo aiseee
Je hivi IQ kwako ni nini hasa? unaijuwa vyema historia ya Bakhresa alikotoka? na ni standard seven Graduate tu?