Women In Balance-kitchen party Gala

lolyz

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
339
199
Habarini wadau...Jamani nani mwenye kujua hii kitu inafanyika lini?maana nimepata msg kuwa ni kesho ...naskia ni nzuri kuna yeyote aliyewahi shiriki kati yetu? Asanteni
 
Itakuwa jumamosi ya tarehe 9 june 2012 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa moja jioni, pale Dunken House Mikocheni.Hapa ndio pale wanapokutana kina dada/wamama kuzungumza changamoto za kila siku katika mahusiano,ndoa,na familia kwa ujumla.
 
Itakuwa jumamosi ya tarehe 9 june 2012 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa moja jioni, pale Dunken House Mikocheni.Hapa ndio pale wanapokutana kina dada/wamama kuzungumza changamoto za kila siku katika mahusiano,ndoa,na familia kwa ujumla.
Asante sana HorsePower
 
Itakuwa jumamosi ya tarehe 9 june 2012 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa moja jioni, pale Dunken House Mikocheni.Hapa ndio pale wanapokutana kina dada/wamama kuzungumza changamoto za kila siku katika mahusiano,ndoa,na familia kwa ujumla.

upo deep kuliko wanawake wenyewe.



Siyo tu kuwa niko deep na mambo yao, ila ni wajibu wangu na najisikia amani na furaha ku-collect information zinazowahusu wadada na kuwafikishia ipasavyo, na kuawasaidia kwa nguvu zote pale inapobidi. Siwezi hata kidogo ku-undermine uwepo wa Wadada ktk dunia hii, bali natumbua na kuthamini uwepo na uwezo wao maana wao ndiyo walionizaa, wakaninyonyesha, wakanifunga nepi (eti siku hizi ni pampas!), wakanilea, wakanitunza na kunipenda. Najisikia fahari sana kuwahudumia hawa ndugu ingawa baadhi yao huyatesa mawazo yetu wanaume na kutufanya saa nyingine tusiwaamini! But all in all, kwangu mimi hakuna kama mama!
 
Haya jamani wanaokwenda wakirejea watueleze chamsingi kilichokua kinasemwa huko.
 
Siyo tu kuwa niko deep na mambo yao, ila ni wajibu wangu na najisikia amani na furaha ku-collect information zinazowahusu wadada na kuwafikishia ipasavyo, na kuawasaidia kwa nguvu zote pale inapobidi. Siwezi hata kidogo ku-undermine uwepo wa Wadada ktk dunia hii, bali natumbua na kuthamini uwepo na uwezo wao maana wao ndiyo walionizaa, wakaninyonyesha, wakanifunga nepi (eti siku hizi ni pampas!), wakanilea, wakanitunza na kunipenda. Najisikia fahari sana kuwahudumia hawa ndugu ingawa baadhi yao huyatesa mawazo yetu wanaume na kutufanya saa nyingine tusiwaamini! But all in all, kwangu mimi hakuna kama mama!

MUCH RESPECT BRO!!
we share the same grounds on this
 
Back
Top Bottom