Women don't love you (sad truth)

Women don't love you (sad truth)

U nailed it man.... Hii pia nliwah waza nikafanya ni akawa inafanya kazi ili nilichelewa kugundua maana ana kawaida ya uoga mwingi na kutokuwa muwazi.... Anakaa na vitu moyoni vikiendelea kumtesa... Nikawa nahisi haifanyi kwa kuwa hakukuwa na reaction yoyote ila baadae nkaona inafanya...

Shida inakuja ye ni mtu wa kuridhika na kurahisisha saana akikuambia kitu ukijib sory ashaelewa iyo... Hana time ya kuanzisha mzozo.

Kitu kingine ni kuwa... Ni mtu ambaye anaweza fanya kitu ma asijue kwa nin kafanya.. ana mihemko saaan. Na ugeni wake kumahusiano unafanya awe na majibu ya kukera saana inahitaji uvumilivu.

Imagine anakaaa anamtumia mesej mshkaji.. ya kumuacha afu jamaa anaelewa then manzi anakaa siku tatu ye mwnyewe anarud kuomba msamaha....

Yaani kama karogwa hivi maku yuuule... Au nitafute mganga na mi nimroge nin
.
Huyu mi nataka kuteka asisikie asiambiwe, hata akienda kupigwa ila akija kwangu hapindui....

Sent from my Redmi 8 using JamiiForums mobile app
"CHUKUA DAWA HII..."unaambiwa Huy usemi unawaganga pekee
 
Could you help me this source. I wanna dig deeper please
Search on how the diamond ring was introduced as engagement ring and how the stone was made famous and precious by some psychologist guy. From that source you will get many more relevant agendas.
Am not spoon feeding you Comrade
 
Comrades,

They love what you can do for them.

She desires unconditional love from you, but her love will have hundreds of conditions from day one.

It's called the security provision objective of her sexuality. Sex is her only natural tool for negotiating with a man in the intergender relationship; she beds you in exchange for provision, which makes her love for you conditional.

The only person she loves unconditionally is her own child or children or, put the other way round, it's only a man's own mom who can love him unconditionally not the type of woman he beds. Sex sells for women and whenever her coochie is open, it's business. Nothing is new under the sun.

Know and accept this, then adapt!

Good week comrades!!

Update:-
Moreover, since sex is her only natural tool for negotiating with a man in the intergender relationship, the moment she's laying you it's like her side of the bargain is done leaving you the bulk of the burden to perform ie provision and protection. How you do it is not her business, all she cares about is you providing. It's no surprise she can put up with a thief, robber or con man because all that matters to her is the idiot bringing home money whether he gets gunned down or sent jail matters little. In other words, the woman you bang lacks empathy, which is the reason most, if not all, women are found hanging around the finishing line not at the start of a man's race waiting winners whom they offer sex in return for provision.
Mkiachwa mnakuja na fact
 
Ili akaweke heshima December kuwa ni mtafutaji.
Kuna mmachame mmoja nilikuwa namkula alikuwa Ana duka la nguo Arusha Ila akija dar anafikia Mugabe gesti hapo sinza.
Anauza uchi wee akipata hela ananunua mzigo akapeleka dukani kwake.
Aliniambia kuwa huko wanamjua kuwa anafanya biashara ya nguo. Nilipiga salute kwa manka kwa utafutaji jamani
Wale watu ni hatari sana.
Ukiwaangalia kwa muonekano wao wako smart sana wala huwezi kudhani kwamba wanategemea papuchi kuishi.
Huko Arusha niliwaburuza sana yaani wa kila aina,hawana mambo ya kuzungushana ni fasta tu unamaliza kazi
 
Kwa uzoefu wangu wote
Nilijifunza kitu kimoja ukitaka kujua km mwanamke anakupenda muangalie mara ngapi anaonyesha matendo ya kukuonea huruma
😅 you are right, sio kuonesha tu bali kukuokoa kwenye hayo majanga
 
Ili akaweke heshima December kuwa ni mtafutaji.
Kuna mmachame mmoja nilikuwa namkula alikuwa Ana duka la nguo Arusha Ila akija dar anafikia Mugabe gesti hapo sinza.
Anauza uchi wee akipata hela ananunua mzigo akapeleka dukani kwake.
Aliniambia kuwa huko wanamjua kuwa anafanya biashara ya nguo. Nilipiga salute kwa manka kwa utafutaji jamani
Dah huyu coomer kiboko aisee! Anauza uchi kama ratiba?
 
😁😁 yeah ushaona demu anakuwa kama mchizi wako,anakuokoa kwenye majanga mara hauna hela anakuungia siku ziende afu demu akikusaidia sana huwa hisia nae zinapotea unamwona kama ndugu yako
Hapo sasa ni demu kuwa mchizi wako tu ila sio ile kuwa anakufeel sababu anaweza akawa na jamaa yake wako cool tu
 
Mwanamke mara nyingi anapenda mara moja, hiyo ndio sababu.

Kama wewe ndio First Lover wake anayekupenda Sana basi jua anakupenda mno.
Lakini Kama wewe ni Mpenzi wapili au watatu kuendelea basi unayoyasema huweza kuwa kweli.

Mwanamke anapoachwa na First Lover wake ndio huingiwa na Roho ya ukatili na kuwa hivi walivyo wanawake wengi WA mjini

Hivyo lawama nyingi lazima ziende Kwa Wanaume waliowaumiza wanawake zao Hali inayopelekea kuwafanya wanawake wasiwe na upendo wa kweli
Wewe sio mkweli hata kidogo....

Mbona mimi first lover wangu simpendi hata kidogo kwanza ndo najiuliza ilikuwaje nikazama nae kimahaba.....

Fanya utafiti tena
 
Wewe sio mkweli hata kidogo....

Mbona mimi first lover wangu simpendi hata kidogo kwanza ndo najiuliza ilikuwaje nikazama nae kimahaba.....

Fanya utafiti tena


Utampendaje wakati alikuumiza??

Baada ya kuulizwa wanawake wengi hawanaga mapenzi ya kweli.

Huo ndio ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom