hewizet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 2,494
- 1,632
Kufanya nini huko pm?yah ukuje pm kule
![]()
Usiombe wolper akung'ate na kile kijino kake hata kiutani tu
Utachoma tetanus mwaka mzima huponi
dah aiseee watu mna vituko sana.hahaalijisahau badala ya kupaka makeup akapaka makedown
Ha ha ha wolper tulivyokuwa shule ukisaga wenzio ulikuwa na rangi nzuri sana ... umejiharibu sana now days ... ila jitahidi kurudisha rangi yako ya asili weupe wako wa asili
alifukuzwa shule sababu ya hiyo tabiaKumbe ni tokea zamani?
Uwiiiiiiiialifukuzwa shule sababu ya hiyo tabia
probably alienda kusoma shule nyingine alikuwa bright thoughUwiiiiiiii
Sasa mbona anasemaga kafika form four? Alienda kusomea shule nyingine au?
kafanana na huyu?Napenda mwanamke awe natural sio kujipaka hya madude dude mnakua km vinyago sasa....![]()
![]()
View attachment 451534