Chinga One JF-Expert Member May 7, 2013 11,450 12,317 Dec 29, 2016 #1 Napenda mwanamke awe natural sio kujipaka hya madude dude mnakua km vinyago sasa....
Planett JF-Expert Member Mar 20, 2014 10,424 15,976 Dec 29, 2016 #3 alijisahau badala ya kupaka makeup akapaka makedown
W Waziri kivuli JF-Expert Member Nov 30, 2016 2,987 3,450 Dec 29, 2016 #4 Sijui akitoka usingizini inakuwaje
Usher-smith MD JF-Expert Member Jul 7, 2015 9,504 12,176 Dec 29, 2016 #9 Ndio maana anaachika kila siku Hapo make up yupo hivyo Ndio akiamka asubuhi si zombi aisee
karugila JF-Expert Member Nov 6, 2014 1,275 683 Dec 29, 2016 #10 Kumpenda mwanamke mzee inahitaji uvumilivu sana.ndo maana wakaimba "Moyo machine''
S Socw JF-Expert Member Aug 27, 2016 1,304 2,583 Dec 29, 2016 #11 nyi mnaosema ni bora abaki natural hamumtakii mema kabisa
totolito JF-Expert Member Mar 16, 2016 708 431 Dec 29, 2016 #12 Napenda madem natural tu huyo demu uxku ushaingia kwake
Baba Heri JF-Expert Member Jul 23, 2013 1,503 2,222 Dec 29, 2016 #13 Inakuwa kama vile kajipaka putty
Queen Kan JF-Expert Member Dec 26, 2012 5,087 8,591 Dec 29, 2016 #15 Mmh tatizo wanaume hamtakagi wa asili.....hapa mtacomment ooh napenda natural huku mnawafata haohao wa makedown sijui
Mmh tatizo wanaume hamtakagi wa asili.....hapa mtacomment ooh napenda natural huku mnawafata haohao wa makedown sijui
miss mbuja JF-Expert Member Nov 4, 2016 421 259 Dec 29, 2016 #17 Amekuwa kama mwajuma ndala ndefu jamani au asha ngedele wa kota!!!
BAK JF-Expert Member Feb 11, 2007 124,789 288,015 Dec 29, 2016 #18 ...sijui hakujiona kwenye kioo kabla ya kutoka! dah! miss mbuja said: Amekuwa kama mwajuma ndala ndefu jamani au asha ngedele wa kota!!! Click to expand...
...sijui hakujiona kwenye kioo kabla ya kutoka! dah! miss mbuja said: Amekuwa kama mwajuma ndala ndefu jamani au asha ngedele wa kota!!! Click to expand...
Azarel JF-Expert Member Aug 25, 2016 26,103 34,063 Dec 29, 2016 #19 Usiombe wolper akung'ate na kile kijino kake hata kiutani tu Utachoma tetanus mwaka mzima huponi