Hutazeeka?Kumpenda mwanamke mzee inahitaji uvumilivu sana.ndo maana wakaimba "Moyo machine''
Unaweza jua ulilala na kibwengo!Sijui akitoka usingizini inakuwaje
Toka asimame pale Dodoma siku ileee basi nilijua laana ya kuchuja inamfuata huyu mtoto wa kike. Ziko nyumba zingine sio za kuingia, ukiingia huko ni kujitafutia gundu tuu!...sijui hakujiona kwenye kioo kabla ya kutoka! dah!
Kumbe ana mashine ya kusaga ndio maana kama kapaka unga usoni!Ha ha ha wolper tulivyokuwa shule ukisaga wenzio ulikuwa na rangi nzuri sana ... umejiharibu sana now days ... ila jitahidi kurudisha rangi yako ya asili weupe wako wa asili
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe ana mashine ya kusaga ndio maana kama kapaka unga usoni!
Kwishaa habari yakeNapenda mwanamke awe natural sio kujipaka hya madude dude mnakua km vinyago sasa....[emoji30] [emoji31]
View attachment 451534
Hata Kama Mashuka Anafua Yeye Unamtafutia Siku Unafuta Yote Na DekioNapenda mwanamke awe natural sio kujipaka hya madude dude mnakua km vinyago sasa....[emoji30] [emoji31]
View attachment 451534