Wizi wa matela CRDB

Wizi wa matela CRDB

SOGHOO

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
1,268
Reaction score
568
Jamani muwe macho sana mnapowapa matela wa CRDB hela. Kuna huyu mmoja hapa Mbezi Mwisho, kijana wa kiume mweupe, ukimpa hela wakati wa kudeposit anazichanganya fasta na nyingine halafu wakati anazihesabu na mashine anakuambia mara kumi moja hamna, jana nilimpa mamilioni ya pesa cha ajabu aliniambia hamsini nzima imepelea. Nilitaka kuanzisha vagi lkn nikaona what is fifty thousand to me.

Nimemuwekea mtego huyu kijana. Mtanisoma kwenye magazeti.
 
Waacheni waibe tu jamani.. Mshahara wenyewe laki 6 na hapo unaingia ofisini saa 12 asubuhi unatoka saa 2 usiku..

Off ni siku moja tu kwa wiki.. Hawa bankers wengi hamna kitu ukimtoa Bank Manager na Treasurer hizo takataka sijui Teller, Loan Officer ni njaa tupu

 
Hivi bado tu hiyo tabia ipo, zamani crdb musoma alikuwepo dada mmoja mnene hivi,bonge alikua mwizi sana kwa staili hiyo, unampa pesa gafla ten au 20 hazipo, watu wakalalamika akahamishiwa songea huko kusini, alikua mwizi sana,sijui kama bado anafanya kazi ni kitambo kidogo. Nikajua huo wizi umeisha kumbe bado upo?
 
Sasa wa hapa waterfront ndo balaa dada mmoja wa teller ya pili kulia kama unaingia alinipiga laki mbili yan bando la noti mia za elfu mbilimbili
Ni mweupe hv nikamshtukia akaniambia nisimuharibie akanipa uchi na kunitunuku mambo yetu yale juu ndo nikamsamehe
Washenzi sana hawa mateller ***** zao
 
Hivi CRDB hakuna hata mkubwa mmoja anaesoma humu ili wafanye warekebisho kwenye benki yao. Kila utakapoona CRDB imetajwa JF ujue ni malalamiko tu.
Tuliipenda sana hii benki lakini naona wakubwa wamezeheka wanakosa ubunifu na kuachia ngazi ili damu changa ije hawataki. Vodacom au Tigo wanabadilisha wakubwa kila baada ya miaka mitatu minne ndio maana kuna ubunifu wa hali ya juu. Hivi wakurugenzi wa CRDB hawalijui hili au nao wamezeheka ?
 
jamani muwe macho sana mnapowapa matela wa crdb hela. Kuna huyu mmoja hapa mbezi mwisho, kijana wa kiume mweupe, ukimpa hela wakati wa kudeposit anazichanganya fasta na nyingine halafu wakati anazihesabu na mashine anakuambia mara kumi moja hamna, jana nilimpa mamilioni ya pesa cha ajabu aliniambia hamsini nzima imepelea. Nilitaka kuanzisha vagi lkn nikaona what is fifty thousand to me. Nimemuwekea mtego huyu kijana. Mtanisoma kwenye magazeti.

ndio leo wajuwa watu tuko kwa uchunguzi wapo wengi
 
Ni kwel kabisa...hii bank sasa hv imekuwa yakipuuzi sana,wafanyakaz wamezoea kazi,badilishen watu
 
Waacheni waibe tu jamani.. Mshahara wenyewe laki 6 na hapo unaingia ofisini saa 12 asubuhi unatoka saa 2 usiku..

Off ni siku moja tu kwa wiki.. Hawa bankers wengi hamna kitu ukimtoa Bank Manager na Treasurer hizo takataka sijui Teller, Loan Officer ni njaa tupu

alafu cha ajabu kuna watu wanaziheshimu hizo kazi...nakumbuka wakati nimemaliza chuo nilifight sana nipate kazi bank nikidhani kuna mambo ya maana!!
 
sijawahi fanyiwa hiyo ila siku ikitokea hata elfu tano tu nitaidai mpaka kieleweke nani mwizi....
alafu teller ataanzaje kuiba siku hizi mbona kuna camera kwenye tule tuvyumba twao? au zile camera nimapambo tu!!!
 
Sio CRDB tu hadi hao wengine NMB
 
alafu cha ajabu kuna watu wanaziheshimu hizo kazi...nakumbuka wakati nimemaliza chuo nilifight sana nipate kazi bank nikidhani kuna mambo ya maana!!

Ni bora ufanye kazi ya laki 3 ambayo utakuwa free kufanya na mambo yako mengine kuliko laki 6 ambayo unarudi nyumbani saa 2 ukiwa hoi..

Wakishapewa na vimkopo vya kumiliki Vits na Passo basi wanajiona washamaliza kila kitu
 
Sasa wa hapa waterfront ndo balaa dada mmoja wa teller ya pili kulia kama unaingia alinipiga laki mbili yan bando la noti mia za elfu mbilimbili
Ni mweupe hv nikamshtukia akaniambia nisimuharibie akanipa uchi na kunitunuku mambo yetu yale juu ndo nikamsamehe
Washenzi sana hawa mateller ***** zao

Hahahaa we jamaa noma so ukanunua uchi kwa laki2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom