Wizi mtandao wa Vodacom

Wizi mtandao wa Vodacom

kwahinsi Neti yao ilivyo faster hunishawishi kuhamia popote
 
Mi nshahama toka jana nko najiexpress myself huku jaman
 
Mimi naona karibu mitandao yote ni wezi tu, na wanaowaendekeza ni hao TCRA. Sasa kwa ushauri wangu na nini kifanyike, ni kuwafanyia kampeni kama ya Sitti Mtemvu.
Iwe watu wote na mitandao yote, kuwashinikiza TCRA waweze kuwasikiliza watumiaji wa hii mitandao ya simu.

Tunaelewa hiyo kampuni ya voda ina hisa za watu fulani, lakini nguvu ya watumiaji nayo ikitumika ni lazima TCRA wawe na meno sasa.
 
Sijutii kuwa mteja w a kampuni yoyote ya simu Tanzania,HASAHASA VODACOM

Hayo matatizo munayapata kwa kutokuwa makini.

Mods futa hizi pumba muende ofisini kwao si mnapajua, mumetuchosha Arrghh
Ndugu umesahau kuwa hapa ni jukwaani?Mtu ametoa kero yake msikilize kama unaweza msaidie mawazo na si kumkatisha tamaa.Hujamtendea haki.
 
Mimi naona karibu mitandao yote ni wezi tu, na wanaowaendekeza ni hao TCRA. Sasa kwa ushauri wangu na nini kifanyike, ni kuwafanyia kampeni kama ya Sitti Mtemvu.
Iwe watu wote na mitandao yote, kuwashinikiza TCRA waweze kuwasikiliza watumiaji wa hii mitandao ya simu.

Tunaelewa hiyo kampuni ya voda ina hisa za watu fulani, lakini nguvu ya watumiaji nayo ikitumika ni lazima TCRA wawe na meno sasa.
Ni kweli hakuna mtandao ulio safi hata kidogo wote ni majizi tu.
 
saa nyingine sisi wateja tunawaonea Vodacom Tanzania bure !mkuu kama wewe ni mtumiaji wa smartphone kabla hujarecharg cm yako hakikisha umeswtch of mtandao wa ki itanet 3g then uweke vocha.
 
Last edited by a moderator:
Huduma zao kwa wateja ni mbovu sana na unaweza piga simu isipatikane na hata ikipatikana wanakujibu wanavojisikia wao

mkuu Arovera kitengo cha huduma kwa wateja vodacom kimekufa baada ya Vodacom kuamua kutumia makanjanja kuendesha kitengo hicho. sasa hv kitengo hicho kinaendeshwa na kampuni binafsi inayoitwa EROLINK kwa kutumia wafanyakazi wa kuokoteza (day workers) ndio maana kitengo kile kimeshuka thamani. ubora wa huduma kwa mteja umeshuka kwa 90% baada ya vodacom kuamua kubinafsisha customer care department kwa hawo wezi (EROLINK)--wao wanachojali ni FAIDA, ubora wa HUDUMA kwa mteja hauwahusu sana. hapo ndipo hawa makaburu walipokifikisha kitengo hiki. inauma sana!
 
Last edited by a moderator:
Sijutii kuwa mteja wa kampuni yoyote ya simu Tanzania,HASAHASA VODACOM

Hayo matatizo munayapata kwa kutokuwa makini.

Mods futa hizi pumba muende ofisini kwao si mnapajua, mumetuchosha Arrghh

acheni wizi nyie Vodacom Tanzania, wateja watakuhameni. mbona tukipiga kwenye kitengo chenu cha customer care mnatubalaza tu badala ya kutusaidia. wewe ukiwa kama ME hapo customer care unafanya juhudi gani kuzuia huu wizi kwa wateja? acheni hizo bhana!
 
Last edited by a moderator:
Mi niliishalalamika kwa kuandika email TCRA baada ya vodacom kuniibia laki moja ndani ya masaa 24. Sikuwahi kujibiwa email yangu nikajua hii ni kampuni ya "wakubwa". Watakuja mwakani kuomba kura zako uwape urahisi.

Ilitakiwa fedha yoyote tunayokatwa na vodacom kwa sababu zozote lazima ije na notification au niulizwe kwanza but wao wanakata bila ridhaa ya mwenye fedha, huo ni wizi

mkuu, hao TCRA ndio sio wa kutarajiwa kabisa. hao matutusa hushirikiana na Vodacom Tanzania kuiba fedha na kuwapa CCM kwa ajili kushinda uchaguzi mkuu ujao. si unajua vodacom inamilikiwa na mafisadi LOWASA & ROSTAM? sasa unategemea nini?
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli hawa jamaa ni wezi sana, hata kwenye vifurush vya internet. Ukiwa na MB100 na unatumia smartphone utashangaa ndani ya dakika 5 wanakutumia msg eti kifurush kimeisha! Mbona wenzao Tigo na Airtel ukiwa na MB100 unatumia mda mrefu??

ni kweli kabisa mkuu. zamani nikiwa na 100MB kwenye modem nilikuwa natumia karibu siku nzima, siku hizi hata saa haijaisha unaambiwa kifurushi kimekwisha. hawa voda ni wezi sana i see!
 
Mbona unahamasisha watu waihame kampuni kwani ukihama wewe peke yako utapungukiwa nini? Awali ya yote ni kwamba una papara,umeshawahi kufika katika ofisi za Vodacom ukauliza swali lako? Kabla hujaenda huko fanya hili: Kabla ya kuweka salio hakikisha mobile data iko OFF katika simu yako,inawezekana unapoweka hela huwa zinaanza kuliwa kama Internet Charges. Tafakari kabla ya kuchukua hatua!

acha kutetea wizi mkuu. mobile data kuwa OFF hazizuii watu kuibiwa. mbona zinakuwa OFF lakini bado tunaibiwa? acheni hizo nyie wezi wakubwa!
 
Wadau poleni na majukumu ya kila siku.
Kampeni hii ni maalumu kabisa ili kuweza kumwokoa Mtanzania anayeibiwa na kampuni hii ya mawasiliano inayowaibia wananchi mchana kweupe kabisa wizi wao ni huu, ukiweka salio labda 500 kabla haujajiunga wanakata kama shilingi 20 hadi 40 , unaweza kuweka pesa ili ujiunge na Kifurushi halafu pesa ipo wanakueleza haitoshi lakini pia kukuunganisha na huduma zao za kulipia kwa lazima bila hiyari yako hivyo tuwahamasishe ndugu zetu wahame hii Kampuni hawana adabu kwa wateja wao.
Lakini angalia inaweza kuwa kuna milio ambayo imejiunga nayo bila kujua kuwa inalipiwa. Maana wengine wanapopiga simu wakisikia wimbo wa kuitia na sauti inayosema "kuupata wimbo huu bonyeza nyota" wao wanabonyeza bila kujua watakuwa wanaulipia kila siku. Mimi nina kaka yangu ambaye ana nyimbo za miito kama 5 na kila siku analalamika salio kupungua bila kujua ni yeye amejisajili kwenye nyimbo nyingi ambazo anayempigia ndiye anayesikia na si yeye
 
Sijutii kuwa mteja wa kampuni yoyote ya simu Tanzania,HASAHASA VODACOM

Hayo matatizo munayapata kwa kutokuwa makini.

Mods futa hizi pumba muende ofisini kwao si mnapajua, mumetuchosha Arrghh

Naona wewe una maslahi binafsi na hawa Vodacom vinginevyo usingesema hicho ulichosema.Kwani wote tunaishi mijini hadi twende kwenye ofisi zao? Halafu umakini gani huo unaozungumzia? Wacha watu wajinafasi bhana kwani hii ndiyo JF ya ukweli.
 
tafuteni kuna uzi uko humu ndani unaoeleza jinsi makampuni ya simu yanavyowaibia wateja wao ili mjihabarishe zaidi. makampuni yote ni WEZI ila voda wamezidi.
 
Mungu wangu nisamehe Jana nilimnunulia mke wangu muda wa maongezi mpesa ajiunge Na kifurushi gafla anasema amekuta sh. 261 nika mgombeza kweli alitumia bila kujiunga..nika amua kununu tena nikiwa karibu naye kabisa na simu ninayo mkononi.daah daki 1 tuu imekatwa sh 70 !!

Sasa nauliza hata Kama data iko on mbona mwanzoni haikuwa hivi? Na mbona mitandao mengine haiko hivi?
 
Back
Top Bottom