Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 886
- 1,010
Braza unless kama unafurahisha tu kijiwe,Maybe uwe mgeni kwenye magar lakin kama ni upo kwenye gari/magar kwa mda uwez ibiwa ata ml100 usigundue
Labda usiwe na bajet mahalum ya mafuta
Unayotakiwa kuweka kila mafuta yanapoisha
Hivi ubajua utakavyoingia "Sheli" leo sivyo utakavyoingia kesho?
Mi nadhani hata kama una uzoefu gani kwa dhsboard zetu za magari huwezi ku-detect wizi wa mafuta yasiyozidi au kufikia robo bana.
Unless uwe unatumia gauge ambazo ni digital zinasoma kwa number na point, na gari hizo bado au ziko chache sana hapa kwetu