MGILEADI
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,621
- 1,545
Uliyepiga picha hii umetufaa sana!Haya wale wamiliki magari,mtindo mpya umeibuka!Wakati wewe ukiamini mafuta yanawekwa kwa tanki la Gari,kumbe muweka mafuta anakuziba ili usione dumu dogo ili aweze kuwa anakuibia!!Jionee kwa pichaView attachment 741655