Tatizo la kuoa wanawake wasiosoma. anamwamini vipi total stranger hata akagawa simu yake. alikua ameangalia wapi wakibadilisha line ? mhoji vizuri huyo my wife wako huenda kuna vingi umeibiwa
Huyo shem alitoa namba ya siri ya hiyo mobile banking au ilikuwa kwenye simu wakaiona. Poleni..!
kupata p/w hata kwa njia ya udukuzi ni ngumu sana,*||-> hao jamaa lazima watakuwa na mtu ndani ya makampuni ambae anawapa/kuvujisha p/w mara apatiwapo namba za simu za watu mbalimbaliunajua kitu inaitwa udukuzi, udukuaji au hacking. we kama unatambaa technologia inapepea, kalaga baho!
kupata p/w hata kwa njia ya udukuzi ni ngumu sana,*||-> hao jamaa lazima watakuwa na mtu ndani ya makampuni ambae anawapa/kuvujisha p/w mara apatiwapo namba za simu za watu mbalimbali
Huyo Mkeo ni mrahisi sana.
Jana nilipata kisa kimoja kutoka kwa my wife,alipotoka kanisani alikutana na vijana wawili waliokuwa wamevalia sare za kampuni ya simu ya Vodacom wakidai wanasaidia wateja wao kuunganishiwa huduma za internet.
Baada ya my wife kuwakabidhi simu yake waliifungua na kuirudishia na kumuahidi ataanza kutumia internet baada ya saa moja.Punde si punde akagundua simu yake haiko hewani na baadaye kidogo akagundua alikuwa amebadilishiwa sim card mpya isiyosajiliwa.
Tulipata hisia huenda walikuwa ni wezi ndipo tukaamua kubadili password nmb mobile kupitia ATM na baadaye tulipiga simu Vodacom ambapo walitujulisha walikuwa wameshatoa sh.laki 350 kutoka nmb.
Tahadhari: Tuwe macho tusiwaamini hata wanaojifanya ni wafanyakaZi wa kampuni za simu.
Mkuu mpe pole kwanza, mbona kama unazidi kumuongezea maumivu vile!!!
Tatizo la kuoa wanawake wasiosoma. anamwamini vipi total stranger hata akagawa simu yake. alikua ameangalia wapi wakibadilisha line ? mhoji vizuri huyo my wife wako huenda kuna vingi umeibiwa
Asante kwa mwongozo maana huko kweni Bongo umbea umezidi. Njoo Njinjo hakuna umbeaHakuna kitu kama hicho hata kidogo, kudeactivate majina kwa namna gani???? Mimi kwa taarifa yako nafanyia kazi Voda na system za m-pesa nacheza nazo daily mwaka wa 3 sasa, hakuna kitu kama hicho, labda kudivert namba ukipigiwa kama haupo hewani simu zinapokelewa kwa mtu mwingine, ila huwezi kudivert messages wala m-pesa na wala hakuna uwezekano wa namba 1 kutumila na watu wawili. Nnachopata picha hapo waliswap line yako (kurenew) then ww ukabaki na line bosheni haifanyi kazi.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
***350,000,000***
Nyingi sana hizo, labda sema laki 3.5
Kuna watu nawaita wajinga, mtu anatoka usikokujua anakwambia umpe simu na unampatia.
kumbe hamuwajui mahackerz hzo ATM zinaibiwa daily mabank yanalalamika me nasema kilichotengenezwa na binadam akishindwi kwa binadam mwingine
Pole sana,mwezi juzi nilikutana na kisanga kama hicho, baada ya kucheza na simu yangu waliweza kudeactivate jina langu la M-pesa a/c,hivyo details zangu zote za m-pesa wakaziua,nilipotumiwa pesa ikaenda kwa mwingine namba ile ile i.e one number two people!
Inasikitisha sana
Hakuna kitu kama hicho hata kidogo, kudeactivate majina kwa namna gani???? Mimi kwa taarifa yako nafanyia kazi Voda na system za m-pesa nacheza nazo daily mwaka wa 3 sasa, hakuna kitu kama hicho, labda kudivert namba ukipigiwa kama haupo hewani simu zinapokelewa kwa mtu mwingine, ila huwezi kudivert messages wala m-pesa na wala hakuna uwezekano wa namba 1 kutumila na watu wawili. Nnachopata picha hapo waliswap line yako (kurenew) then ww ukabaki na line bosheni haifanyi kazi.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums