Wembe unatisha kuliko panga ujue. Ila teja mi nashuka nakufa nayeUnatoa pesa kwa kiwembe dah!
Wembe unatisha kuliko panga ujue. Ila teja mi nashuka nakufa nayeUnatoa pesa kwa kiwembe dah!
Yeah, kila nikichomoa hatosheki, anazidi kusogeza wembe shingoni, ila leo nimenunua sime la kimasai natembea nalo pembeni ya kiti, 😂😂Mmh kwani alikua anakwambia bado toa zingine? Hadi ikafika 70k au ilifikaje hadi ukampa hiyo yote?
Wewe kweli,ni jasiri na mkakamavu.Naomba niwafahamishe ndugu zangu kuwa makini nyakati za usiku pindi unaposimama kwenye mataa hakikisha milango na vioo umefunga.
Imenitokea maeneo ya kiwanda cha bia pale mataa mida ya usiku saa sita hivi, dirisha la nyuma nilisahau kulifunga, jamaa walikuwa wawili na pikipiki walitokea nyuma yangu na mmoja aliufungua mlango ghafla akanitolea panga aliniambia eti toa simu nilichokifanya nilikanyaga mafuta kwa nguvu yule jamaa kichwa kilikuwa ndani miguu nje alichokipata huko nyuma walisimuliana
Ungepandisha kioo,kikambana mkono,angeomba samahani,yeye mwenyewe.Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
Serengeti pale hii barara ya Nelson Mandela
Kuna teja mmoja mwenye kipara pale ubungo mataa kuna siku nimeshusha kioo akaniwekea sindano nilimkunguta na rungu la uso pwaaaa akaanguka nikakanyaga mafuta nikasepa
Duh😂😂 bora hilo sime tu akikusogezea huo wake wewe unamsogezea sime atajuta😂Yeah, kila nikichomoa hatosheki, anazidi kusogeza wembe shingoni, ila leo nimenunua sime la kimasai natembea nalo pembeni ya kiti, 😂😂
Mwanaume wa mkoani kwa mikwara watakudunda wewe😂😂Wiki ijayo nakuja huko dar na athlet crown langu nikifika hapo sijui mataa gani kioo kitakuwa wazi nisipomkuta ntazunguka ntarudi tena halafu aje na wembe wake aone .kibaka mkubwa ahangaishe wanaume .
Ni automatic, kikihisi ugumu kinashuka hadi chiniUngepandisha kioo,kikambana mkono,angeomba samahani,yeye mwenyewe.
Ha ha ha!!! Mkuu wewe hatari.Naomba niwafahamishe ndugu zangu kuwa makini nyakati za usiku pindi unaposimama kwenye mataa hakikisha milango na vioo umefunga.
Imenitokea maeneo ya kiwanda cha bia pale mataa mida ya usiku saa sita hivi, dirisha la nyuma nilisahau kulifunga, jamaa walikuwa wawili na pikipiki walitokea nyuma yangu na mmoja aliufungua mlango ghafla akanitolea panga aliniambia eti toa simu nilichokifanya nilikanyaga mafuta kwa nguvu yule jamaa kichwa kilikuwa ndani miguu nje alichokipata huko nyuma walisimuliana
Eneo gani na yukoje?Huyu kibaka hadi leo hii bado yupo, Mi imenitokea Mara mbili same person