Abbassalum
JF-Expert Member
- Dec 11, 2016
- 338
- 177
- Thread starter
- #21
Toka lini TV ikaangaliwa kwenye Simu Na TV ifanye kazi gan au mmeweka sebuleni Kama Pambo wabongo Akili ndogo sana.

Toka lini TV ikaangaliwa kwenye Simu Na TV ifanye kazi gan au mmeweka sebuleni Kama Pambo wabongo Akili ndogo sana.

DuuuhTusiharibiane kazi bwana mkuu kakaza unategemea nini unataka familia zitutafune visigino
http://ib.mobdro.sc/download/mobds.apkHebu na wewe tutumie hiyo link tuione
Ndio izo wakuu link zaohttp://bit. ly/2MsnAw
TV zote hizo zipo hata mimi nazitumia hiyo Mobdro na onlineapptv.one na zipo mitandaoni una download bure kabisa.Ndio izo wakuu link zao
Hamna kitu hapo wakuu jaribuni muoneTV zote hizo zipo hata mimi nazitumia hiyo Mobdro na onlineapptv.one na zipo mitandaoni una download bure kabisa.
Tutumie link yake tuone mkuuTV zote hizo zipo hata mimi nazitumia hiyo Mobdro na onlineapptv.one na zipo mitandaoni una download bure kabisa.
Nashukuru kwa kuliona ilo mkuuHakuna vitu vya kijinga kama group la whasapp
Mkuu simu inaweza kuonyesha TV stations nyungi tu online. Changamoto yake kioo kidogo halafu mtandao unasumbua bora kuwa na kisimbuzi tu uangalie screen kubwa kuliko huu usasa was kijinga wanaofanya. Sasa TV kiganjani ina maana ganiToka lini TV ikaangaliwa kwenye Simu Na TV ifanye kazi gan au mmeweka sebuleni Kama Pambo wabongo Akili ndogo sana.