kinjumbi one
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 1,696
- 2,158
Hiyo kitu ipo kweli ila kuunganisha mpaka uwe mjuvi kweli.yupo jamaa pale posta mavuno house anayo hiyo Link na ukienda anakurushia na akusaidia kupakua na ikikubali unamlipa. Ni TSH 3000.
Mobdro — All the web’s free video streams on your Android devicePouwa mkuu naomba nitumie
TV kiganjani 😳 😳 😳 😳 😳 😳 😳![]()
![]()
izo shoortscreen ndio wanatuma wafuasi wao matapeli wenzao ili kuwaaminisha watu ili waamini kuwa ni kweli lkn uongo mtupu na wizi wa mchana mchana wakuu![]()
kweli mkuu uko sahihiSim ibakie sim na TV inakie tv hapo ndio utaenjoy ahahha
kweli mkuu uko sahihiSim ibakie sim na TV inakie tv hapo ndio utaenjoy ahahha
Nitaongeza umakini mkuuWakuu nimeona ili nije kulisema humu uko kwenye magroup ya whatsapp kuna group moja linaitwa TV kiganjani, ili group ni la matapeli kwa sababu gani nasema ivyo wale wahusika wakuu yaani waanzilishi wa ili group wanawashawishi watu wageni mule kuwa wana link ya kuunganisha kwenye simu yako unatakiwa ulipe shilingi 3000/= wakuunganishe kwenye chanel za kuona burudani ikiwemo dstv azam one azam two star tv itv na station nyingi mpaka za nje NK. Za kuona mipila mikubwa kama uefa ligi za ulaya, ukilipia iyo 3000/= ndio wanakutumia iyo link yao wanakuelekeza maelezo gusa maandishi ya blue u douwload zitakuja TV za bure, mimi machale yakanicheza nikawaambia mie siwafanyii uhuni nirushieni iyo link iwapo kama nimepata izo channel, mnazosema nitawarushia 3000/= yenu wakawa wanagoma na kukataa na kusita kunirushia, nikatumia mbinu za kutosha, na kuwabembeleza ndio wakakubali, kunirushia iyo link, cha ajabu kila nikiifungua inakataa, sasa nikajua labda ni kwangu ndio imekataa, nikaingia kwenye lile group watu kibao wanalalamika na wao kwao imegoma kufunguka kwenye simu zao, na mbaya zaidi wapo wenzao wanaochombeza, kuwa wao wanaona na washaunganishiwa safiii kabisa lkn lao ni moja namba yake uyo bwana anaetapeli ya simu pia ninayo na kama kulizwa watu kibao inaonekana washalizwa, nikaona mimi huu uzi niulete uku jf ndugu zanguni muujue na kuuelewa wakuu...!!!!
Hao ndo akina ba.shi.te![]()
![]()
izo shoortscreen ndio wanatuma wafuasi wao matapeli wenzao ili kuwaaminisha watu ili waamini kuwa ni kweli lkn uongo mtupu na wizi wa mchana mchana wakuu![]()

Angalia vizuri huu uzi mwanzo mpaka mwisho utaikuta iyo link nimeituma mkuuAbbassalum Naiomba hiyo link
Alafu jamaa wana lugha laini ya kuwavutia watuvitu vingine mnajipendea wenyewe, acha mpigwe tu.
UJINGA UJINGA tu.
kweli wajinga ndio waliwao...!!Basi mkuu nisamehe, usije kuniona mnaaa...!!!Kwanini unatoa siri? Da ushaniharibia

Nipe link kwanza niifanyie testPoleni sana jamani.
Kuna Application kwa ajiri ya Simu kwa 3500 unaona chanels zote za nje ya nchi chanel zote za mpira za kwenye dstv Live znaonesha clear bila ku scratch Apllication ina channel zote maarufu uzijuazo wewe MUSIC MOVIE SPORTS ADVENTURES ANIMALS na Nyinginezo, Hakika uto juta nicheki 0766945663 ili kujipatia aplication iyo na ikikuzngua nipeleke mahakamani au njoo ushitaki humu JF