Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,180
- 24,801
Kumbe ni mobdro...!
Ntakupa hiyo link!
Kama huifahamu mobdro..
Kumbe ni mobdro...!
Mkuu simu inaweza kuonyesha TV stations nyungi tu online. Changamoto yake kioo kidogo halafu mtandao unasumbua bora kuwa na kisimbuzi tu uangalie screen kubwa kuliko huu usasa was kijinga wanaofanya. Sasa TV kiganjani ina maana gani
Mkuu Kna helio la wauza ngapi wao wanakuambia Tuma 5000/ ili wakuoneshe majimambo....wote hao wezi tuWABONGO AKILI MUKICHWA
Hahahah hii ni link ya kudownload application ya mobdro kwa ajili ya kuangalia tv online wala haiuzwi ni bure. Sio channels zote unapata bure ila ni ukweli unaweza kuangalia mechi na movie kupitia hio app, HAIUZWI hao ni wezi tu.
Wala sielewi mkuu nimejikuta na mimi nipo, nauliza nani alieniweka humu kimya, ikabidi nitulie nisikilizie ndio nikaona mambo ya TV kiganjani mkuuUliingiaje kwenye hilo group?
Pouwa mkuu naomba nitumieKumbe ni mobdro...!
Ntakupa hiyo link!
Kama huifahamu mobdro..
Na wao walisema wameshusha Bei kwa sasa hapo kipindi cha nyuma wanasema walikuwa wanafanya Bei ya shilingi 5000/=Mkuu Kna helio la wauza ngapi wao wanakuambia Tuma 5000/ ili wakuoneshe majimambo....wote hao wezi tu
Ova

Akili mukichwa mkuuNoma sana hao
Hahaha maumivu TU naooo.....Na wao walisema wameshusha Bei kwa sasa hapo kipindi cha nyuma wanasema walikuwa wanafanya Bei ya shilingi 5000/=![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Maumivu yenyewe ya kung'olewa jino bila ganzi mkuuHahaha maumivu TU naooo.....
Ova
Ahsante ubarikiwe mkuuDownload app ya mobdro uone chaneli za nje bila shida.. nenda google andika mobdro kisha upakue.. achana na hao matapeli..
Mkuu mbona hii application Ni ya bure tu mimi mwenyewe nimetumiwa link bure nikaidownload na ninaangalia hzo station bure bila hata shiling![]()
![]()
izo shoortscreen ndio wanatuma wafuasi wao matapeli wenzao ili kuwaaminisha watu ili waamini kuwa ni kweli lkn uongo mtupu na wizi wa mchana mchana wakuu![]()
Mimi mwenyewe hii app ninayo na huwa naangalia Mara kwa Mara na Hakuna aliyeniuziaHii kitu tumepewa bure humu jf zaidi ya mwaka sasa na inafanya kazi japo kuna matatizo ya hapa na pale! Acha mzuka tulia, hawa ni vijana wanatafuta maisha sii matapeli