Wizi arusha......


Kwa nini uliamua kuripoti vituo viwili tofauti vya polisi issue hiyo hiyo? Inawezekanaje vijana 50 wanakupora? Na wasiwasi kama unayoyasema ni kweli. Nitakupa pole baada ya kupata majibu ya kuridhisha
 
Mkuu kama upo maeneneo ya Arusha waweza enda uliza wale wanaofanya biashara ndogondogo kwenye hilo eneo or uliza wale waendesha pikipiki wanao park hapo permanent watakueleza tukio hilo maana waliliona...
 
No nimeibiwa jana jumapili jioni na nimeripoti jana hiyo hiyo mkuu.


ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Pitia tena uongo ulioandika... Kama kwel walikupora ingebd wa ku cameroon ili uje kudanganya zaidi humu.
 
Kwa nini uliamua kuripoti vituo viwili tofauti vya polisi issue hiyo hiyo? Inawezekanaje vijana 50 wanakupora? Na wasiwasi kama unayoyasema ni kweli. Nitakupa pole baada ya kupata majibu ya kuridhisha
...Nilenda unga limited police kwa sababu lile kundi la vijana lilielekea huko na police walinambia nikafungue kesi Central maana eneo nililoibiwa lipo ndani ya kituo cha police central na sio Unga limited......nilifika vituo vya police viwili ila maelezo yangu nimendika kituo cha police Central peke yake...
 
Sikubaliani nawe kabisa LiverpoolFc, kwanza elewa kutafuta wenyeji ni option. Halafu kuibiwa ni mkasa kama ilivyo mikasa mingine tu, hivyo ni bahati mbaya sana. Mkuu pole, tupo pamoja.
 

pole mkuu naamini wanajamii walioahidi kukusaidia watafanya hivyo
 

poor thinking
 
ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Pitia tena uongo ulioandika... Kama kwel walikupora ingebd wa ku cameroon ili uje kudanganya zaidi humu.

hahahahahaa!maelezo yamekaa kimagumash vibaka 50
aliripoti unga ltd
akafungua file central
lool
 
jamani bado ni meni rusha...we huo hata hajui tofauti ya ipad na ipod!!
 
Pole sana mkuu. Usikate tamaa manake vibaka wa Arusha wao shida yao huwa ni cash ya fasta.

Nakumbuka 2010 pia niliibiwa Sanawari kama wewe nikaripoti central na kukaa nikingoja.

Bahati nzuri wale vibaka shida yao ilikuwa ni cash, basi wakatupa pochi yangu na vyote vilivyokuwemo nashukuru Mungu wasamaria wakaokota na kupiga namba zilizokuwemo kwenye business card. Huwezi amini nilipata mali zangu zote isipokuwa pesa taslimu tu.

Just pray mabye kuna mtu ameiona hiyo Ipad yako anaweza kukupigia simu muonane akuletee.
Pole sana mkuu.
 
Nashukuru sana Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…