Wizi arusha......


Lema anahusikaje? Hili ni swala la polisi badala ya kushughulika na usalama wanahangaika na siasa, na biashara za mihadarati wa kuhamisha ni Zuberi Mwombeji
 

Vibaka utawajua tu!
 

Mkuu usikariri, geshi linabadilika kidogo (japo hawajabadilika tu ktk kuwatumikia ccm) siku hizi wanafungiwa internet mathalani makao makuu ni karibia ofc zote, mikoani rpc ana net na staff officer wake soon itaenda kwa ocd. so far so good niliangalia matukio ya jana nikarudi kwangu ndo nikasoma thread ya mkuu na kutoa mchango wangu!
 

Mpe RB number akusaidie. lakini swala la kukuta askari wa kike na wa kiume sio justification, by the way
utakuta askari wa jinsia gani zaidi ya hizo?
 
pole mkuu kwa wikiend na idd mbaya. vipi unayo imei yake.. kama ni inatumia gsm line unaweza kucheki na watu wa mitandao kuona inatumika na line gani may be it can help kama haijauzwa kenya
 
Lema anahusikaje? Hili ni swala la polisi badala ya kushughulika na usalama wanahangaika na siasa, na biashara za mihadarati wa kuhamisha ni Zuberi Mwombeji
hicho nikilio cha wananchi kila siku polisi kufuatilia mambo yasiyo hatarishi na usalama na kuacha wahalifu wakitawala..ndo matokeo yake hayo...nijuavyo ukiifuata nyuki utakula asali na ukifuata nzi.................
 
pole mkuu kwa wikiend na idd mbaya. vipi unayo imei yake.. kama ni inatumia gsm line unaweza kucheki na watu wa mitandao kuona inatumika na line gani may be it can help kama haijauzwa kenya
 
Pole sana kwa yaliyokukuta ,ukosefu wa ajira kwa kweli umechangia ongezeko la uhalifu katika jiji zuri kama hili,haswa maeneo hayo ya Metropole,Friends Corner,Shoprite kuelekea Mbauda kwa kweli ni shida.
Ni kuwa muangalifu sana.
 
Kwa sisi wanasheria naona kama kuingia kichwani ngumu. Kwa mitaa ya metropole na makao makuu ya polis ar ni mita 400 so wangetiwa nguvuni faster na kama wanawaibia watu wameanzia mbali mpaka kufika so polisi wangewazibiti. Oky lakini nafsi yako inajua.
 
Nitashukuru sana mkuu na Mungu akubaliki kwa hilo..
 
Kwenye RED: Nina mashaka na uanasheria wako, ni wa michapo na sifa zaidi kuliko perfomance!
Kwenye BLUE: Sijui ulikuwa wapi kipindi hicho, lakini Kituoni Polisi Msimbazi kuliibiwa hela za mishahara ya watumishi!
 
Pole sana Mkuu huu ndiyo uzao wa CCM na miaka 50 yao madarakani kwa kweli .
Tuwe wakweli jamani. Hao ni vijana wa Lema. haiwezekani kuwe na kundi la vibaka 50. Pole sana mkuu kwa yaliyokupata. inauma kama vile imenikuta mimi.
 
..........natanguliza shukrani zangu mkuu..
 

Hata ka ingekuwa ni nje ya kituo kikuu cha polisi wasingeshikwa polisi wanawafahamu sana na wanalindwa na wanunuzi wa vifaa vya wizi na polisi wanawafahamu sana jioni utakuta wakiwanunulia bia pale celtel bar kaloleni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…