Wizara ziwe hivi

Kwame Nkrumah

JF-Expert Member
Dec 2, 2008
886
376
Idadi ya wizara katika serikali yetu imekuwa kubwa mno. Ni bora basi ufanisi ungeongezeka, lakini ufanisi haujaongezeka na badala yake ni urasimu,gharama,semina, ufisadi, safari na posho ndiyo zimeongezeka.

Wizara zingekuwa hivi [ bila mpangilio maalum]
1. Fedha.
2. Ulinzi.
3. Kilimo na Mifugo.
4. Mambo ya nje.
5. Elimu .
6. Maji na Ardhi.
7. Nishati na madini.
8.Biashara,Utali na Mawasiliano.
9. Usalama wa Raia.
10. Afya.


Masuala mengine kama michezo inafaa kushughulikiwa na Baraza la Michezo la Taifa, Utamaduni kuna BASATA. Shughuli za wizara ya Habari zitashughulikiwa na MAELEZO. Wizara ya Wanawake inaweza kufutwa kwa kila wizara kuwa na kitengo chake cha kushughulikia masuala ya jinsia,in their respective areas, hivyo hivyo kwa shughuli za wizara ya kazi.Wizara ya sheria haitakuwepo kwa sababu kuna Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
 
Last edited:
Mwana, kaiweka hio..ila def wizara ya wanawake, watoto lazima iwepo maana they are still minorities so lazima wawe na sehemu yao..
 
wewew hutaki wizara ya tamisemi?na vp kuhusu viwanda umeiweka wapi nayo?na utwala bora jee?
 
Mwana, kaiweka hio..ila def wizara ya wanawake, watoto lazima iwepo maana they are still minorities so lazima wawe na sehemu yao..

Tanzania wanawake ni wengi kuliko wanaume like in the case of many other countries and the difference haitoshi kumuita mmoja minority because the ratio is almost 50-50. Au una maanisha minority in what aspect ila kwa ulivyo elezea wewe one would think it's in terms of population in which case they can't be a minority.
 
wewew hutaki wizara ya tamisemi?na vp kuhusu viwanda umeiweka wapi nayo?na utwala bora jee?

Viwanda vitakuwa chini ya wizara ya Biashara, viwanda bila kuuza vitakufa tu, ndiyo maana vitakuwa chini ya wizara hiyo. Wizara ya Utawala bora haina ufanisi, watu wakiharibu watashitakiwa au kufukuzwa kazi, na siyo kuhamishwa vituo, viongozi wa halmashauri, wakuu wa mikoa na wilaya watawajibika kwa mamlaka zilizowachagua.
 
U fail to understand. It is not an extraordinarily small government that is needed, it is one that is just the right size and deals with all relevant aspects of our society. Umesahau labour affairs nani atashuhulikia, Environmental issues, Local Govt?? DO u think the government is inefficient because it big? lol.. (i know its too big, but the number of ministries are not the issue, with the exception of ministry of EAC..thts BS.. but ther rest of the ministries are actually valid government departments.. The only issue is that there is no need to have 2 deputy ministers in some of them since deputies are only parliamentary secretaries and have no other meaningful reason to exist... aside from kujibu maswali bungeni na kuweka mawe ya msingi.. They are no technocrats, nothing of the sort. Basically hawana kazi to be honest.. Its just a system yakujinafas kisiasa.. Afterall everyone needs somewhere to go after their man wins the election...
 
Kwame Nkrumah, taratibu!! Mbona Wizara ya Afya / Afya ya Jamii na Matibabu hakuna??? Wataka tuanze kutibiwa kutumia mitishamba au mazindiko? kumbuka kuna huduma za kinga kama kupambana na kipindupindu, SARS, H1M1, utapiamlo, Mimba zisizotarajiwa, TB, etc. Ukifuta Wizara ya Afya / Afya ya Jamii na Matibabuutaja ua bila kukusudia.
 
Kwame Nkrumah, taratibu!! Mbona Wizara ya Afya / Afya ya Jamii na Matibabu hakuna??? Wataka tuanze kutibiwa kutumia mitishamba au mazindiko? kumbuka kuna huduma za kinga kama kupambana na kipindupindu, SARS, H1M1, utapiamlo, Mimba zisizotarajiwa, TB, etc. Ukifuta Wizara ya Afya / Afya ya Jamii na Matibabuutaja ua bila kukusudia.

Du !! Kweli mama mdogo.
 
Wazo zuri.Wizara zisizidi 10,nyingine viwe vitengo ndani ya wizara.Kuwe na Makatibu.Vitengo vishughulikiwe na makamishna au wakurugenzi.
Itaokoa mabilioni ya shilingi yanayotumika kuhudumia huu utitiri usio na lazima.
 
Idadi ya wizara katika serikali yetu imekuwa kubwa mno. Ni bora basi ufanisi ungeongezeka, lakini ufanisi haujaongezeka na badala yake ni urasimu,gharama,semina, ufisadi, safari na posho ndiyo zimeongezeka.

Wizara zingekuwa hivi [ bila mpangilio maalum]
1. Fedha.
2. Ulinzi.
3. Kilimo na Mifugo.
4. Mambo ya nje.
5. Elimu .
6. Maji na Ardhi.
7. Nishati na madini.
8.Biashara na Utalii.
9. Usalama wa Raia.

Masuala mengine kama michezo inafaa kushughulikiwa na Baraza la Michezo la Taifa, Utamaduni kuna BASATA. Shughuli za wizara ya Habari zitashughulikiwa na MAELEZO. Wizara ya Wanawake inaweza kufutwa kwa kila wizara kuwa na kitengo chake cha kushughulikia masuala ya jinsia,in their respective areas, hivyo hivyo kwa shughuli za wizara ya kazi.Wizara ya sheria haitakuwepo kwa sababu kuna Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Kaka iforward hii kwa Muungwana pitia his office e-mail
 
Kuunda wizara inahitaji umakini na utulivu wa hali ya juu wa wataalam watakaozingatia mambo mengi kabla ya kuamua. Haitaki kukurupuka tu na kutengeneza list.
 
Wizara zingekuwa hivi [ bila mpangilio maalum]
1. Fedha.
2. Ulinzi.
3. Kilimo na Mifugo.
4. Mambo ya nje.
5. Elimu .
6. Maji na Ardhi.
7. Nishati na madini.
8.Biashara,Utali na Mawasiliano.
9. Usalama wa Raia.
10. Afya.

samaki hawana vizara kwenye serikali yako... vipi kuhusu wanawake... wasio na wizara maalum je?
 
Nungunungu were serious with your comment below? Hivi unataka kuniambia utaratibu huo unaosema wewe ulitumika kuunda zile wizara za msanii zilizopelekea kuwa na mawaziri 60? Unazikumbuka wizara ya mambo ya ndani, wazara ya usalama wa raia, wizara ya kilimo, wizara ya mifugo na nyinginezo nyingi? Nionavyo mimi jamaa alikuwa na majina ya watu kabla ya wizara so kwa vyovyote vile ilkuwa amalize watu wote aliokuwa nao ndio maana akaibuka na mawaziri 60 na haikuwa unavyosema wewe wala alivyosema yeye kwamba ni mahitaji, kama ni mahitaji basi yalikwa ya kazi kwa jamaa zake.

Kuunda wizara inahitaji umakini na utulivu wa hali ya juu wa wataalam watakaozingatia mambo mengi kabla ya kuamua. Haitaki kukurupuka tu na kutengeneza list.
 
Back
Top Bottom