Atakua anajisikia Poa kwa kutachia jembe.
nimekuelewa sawa ndugu minyoo hiyo wizara apewe mtu mwenyewe uwezo pia anayejua umuhimu wa michezo. tunataka tuone mafanikio ya kweli. hao wawili wote hawafai kabisa
nashukuru kwa pendekezo. ngoja tuone Rais atamteua nani katika hiyo wizaraNapendekeza Venance Mwamoto awe waziri wa michezo!
nashukuru kwa pendekezo. ngoja tuone Rais atamteua nani katika hiyo wizara
unataka iwe hivyo kweliIwe chini ya ofisi ya Rais ili aiongoze yeye, ateue watendaji tu na waripoti kwake. Hapo itakuwa kazi tu.
Dr hamis kingwa asikose kwenye baraza lako plz...
Uzuri mawizara hayana issue wala hayana sheria ya kuyaanzisha kama zilivyo idara, mamlaka, mikoa, wilaya na wakala za serikali. It's just by the President's pleasure that ministries are established and, in the same means, can be dissolved without any query or issue.
unataka iwe hivyo kweli
#hapakazitu
itabidi awachague wale ambao wana sifa zinazofanana na zake. itakuwa rahisi kwa yeye kutoa maagizo then yafanyiwe kaziNdiyo tutapata matokeo tunayoyategemea, Unajua huyu Rais hata asifanye kitu chochote, yeye aseme anataka utendaji wa kwelikweli kwa hao atakaowateua, lazima wata Deliver tu.
Utabiri huu yawekezakana ukawa wa kweli, lakini nina shaka kidogo kwenye Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Kuifuta hiyo kitu ni jambo gumu kwa sababu ndiyo inayojihusisha na masuala yote ya watumishi wa umma. Bado napata shaka kidogo. Labda italetwa kwa jina jingine, lakini umuhimu wake haukwepeki.
itabidi awachague wale ambao wana sifa zinazofanana na zake. itakuwa rahisi kwa yeye kutoa maagizo then yafanyiwe kazi
Kupunguza wizara 15 siyo mchezo. Wanaouliza pesa za elimu zitatoka wapi hawakuyajuwa haya. Nadhani tutaheshimiana tuu. Eti kuna watumishi walikuwa hawauhesabu mshahara wanakula posho tuu. Maguuuuuu! Bado Tanesco.
umetumwa wewe. Ana kipi cha maana
nami najuta kwa nini kura yangu niliipeleka kuleeee kwa hasira ya kuchoka umangimeza wa chama kubwa