Triplets
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 1,146
- 206
nami najuta kwa nini kura yangu niliipeleka kuleeee kwa hasira ya kuchoka umangimeza wa chama kubwa
Asante sana wewe hujachangia kuchaguliwa kwa magufuli lakini umechangia kwenye kasi na ari ya kutimiza ahadi aliyoingia nayo magufuli. Ile kampeni haikuwa yakitoto, na ukiona mtu mwenye tuhuma za ufisadi na ugonjwa kapata kura milioni sita ujue ni kutimiza ahadi au kufungasha mikoba baada ya miaka mitano. Asanteni sana ukawa ninyi ndio chachu ya haya yote tunayoyaona