Wizara zinazofutwa hadharani

Wizara zinazofutwa hadharani

Chadema ilipokuwa inapiga kelele baraza kubwa mliwazomea sasa mnamsifia Magufuli anaetekeleza ilani na rasimu za Chadema. Hovyoooo
 
Safari hii mawaziri watatumia Vitz hakuna kutumia magari ya bei kubwa.

Kwa miak? 3 tu kama tunaenda hivi kuna nchi za kiafrika mfano Namibia, Botswana na senegal zitatakiwa kukaa mguu sawa make tunakuja kuchukua nafasi yao
 
Mkuu salary haziitii serikali hasara, na wala salary siyo matumizi yasiyo ya lazima. Kinachoondolewa ni yale matumizi yasiyo ya lazima ndo maana unasikia ameokoa kiasi cha pesa na kukipangia shughuli za kutoa huduma kwa wananchi wenye uhitaji. Kupunguza mawaziri 15 na manaibu wao ni pesa nyingi sana zingetumika kuwahudumia hawa ukichanganya na dili zao ni balaa.

Vile vile unapounda wizara ni lazima uipangie bajeti ya kuiendesha. Wakati mwingine unakuta wizara haina mkia wala kichwa na kinachotokea ni kuongeza matumizi tu.
 
Magufuli ni kusudi la Mungu!

Acheni ujinga huu Mwanasiasa waAFRICA usimuapie badae akivurunda mtaona aibu wee shukuru kama anafanya yale tunayotaka lkn kusema mambo kama hayo ni Ujinga
 
Chadema ilipokuwa inapiga kelele baraza kubwa mliwazomea sasa mnamsifia Magufuli anaetekeleza ilani na rasimu za Chadema. Hovyoooo

Kuwa MTU wa CCM ni LAANA KUBWA cz Akili lazima iende Likizo
 
Wizara ya michezo ibaki peke yake asichanganye na vitu vingine maana kilichofanya michezo kushuka kwa kasi ni kutokana na wizara kubeba majukumu kibao yakiwemo ya utamaduni na habari.

Na kumweka yule mjomba wa kondoa aliyesema haongei na mbwa anaongea na mwenye mbwa
 
Actually hapo watakaopungua ni Mawaziri na Manaibu waziri. Hao watumishi wengine watabaki hapo kama sekta fulani au watapangiwa kazi nyingine, na salary kama kawaida

Hao wanapaswa kuambiwa waombe kazi upya! Hiyo ni njia nzuri ya kupunguza wafanyakazi "mizigo"
 
nami najuta kwa nini kura yangu niliipeleka kuleeee kwa hasira ya kuchoka umangimeza wa chama kubwa

Usijutie KURA yako, KURA yako kwa UKAWA ndio imeleta chachu ya Mabadiliko ndani ya CCM kupitia Magufuli ndio maana Magufuli siku ya kuapishwa kama sikosei alisema atachukua mazuri yote toka kwa washindani wake. N a kiukweli mambo yote aliyoanza kuyatekeleza ndi yalikuwa vipaumbele na Ilani ya vyama vinavyounda UKAWA.
 
hii austerity measures nzuri sana jirani zetu wengi watatuiga.
 
Tuchukulie mambo yote kwa umakini mkubwa. Siku hazigandi, tuwe na akiba ya maneno.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu bariki Rais wetu
 
Back
Top Bottom